Hatimaye nimejisajili JamiiForums

Nimekuwa mfuasi mzuri sana wa jamiiforum kwa muda wa miaka mitano sasa ila sikuwa na uwezo wakuchangia mada na kuweka nyuzi kwakuwa sikua msajiliwa humu jana nimechukua maamuzi ya kujiunga na kuwa mmoja kati ya watu takribani laki nne wanao tumia mtandao maashuhuri wa jamii wenye malengo chanya kwa jamii ninayo furaha sana kujiunga nanyi nasema hodiii!!!!
Karibu sana, uko tayari kulogwa.
 
Back
Top Bottom