Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Baada ya safari ndefu kati ya Mimi na yeye leo ndo nimegundua mpenzi wangu ameshaniacha japo hajanitakia baada ya kugundua viashiria vifuatavyo:
1. Ameshanitamkia live kuwa upendo wangu kwake umeshapungua hivyo ananiona ni mtu wa kawaida baada ya kunipigia simu akinisalimia katika maongezi ameshanitamkia hivi
2. Ameniambia hivi sasa akili yake inawaza maendeleo hivyo hisia za mpenzi kwangu Mimi zipo chini sana
3. Ameshaniambia sasa hivi mimi na yeye tuna utofauti mkubwa sana
4. Nimejaribu sana kujitetea kujiweka sawa lakini naona hakuna uelekeo tena wa Mimi na yeye kurudi katika hali ya zamani hivyo kisaikolojia hapo binti kashaniacha japo kuna muda anaweza kunicheki kunisalimia kama mtu wa kawaida tuu
Hivyo wandugu naombeni ushauri maji yameshamwagika tiyari japo bado hajanitamkia sikutaki bado ila matendo na vitengo pamoja na maneno nimeshaona
Hivyo naombeni ushauri na kitu gani natakiwa nifanye kipindi hiki hii hali isinitese maana maji yameshamwagikaa hivyoo
1. Ameshanitamkia live kuwa upendo wangu kwake umeshapungua hivyo ananiona ni mtu wa kawaida baada ya kunipigia simu akinisalimia katika maongezi ameshanitamkia hivi
2. Ameniambia hivi sasa akili yake inawaza maendeleo hivyo hisia za mpenzi kwangu Mimi zipo chini sana
3. Ameshaniambia sasa hivi mimi na yeye tuna utofauti mkubwa sana
4. Nimejaribu sana kujitetea kujiweka sawa lakini naona hakuna uelekeo tena wa Mimi na yeye kurudi katika hali ya zamani hivyo kisaikolojia hapo binti kashaniacha japo kuna muda anaweza kunicheki kunisalimia kama mtu wa kawaida tuu
Hivyo wandugu naombeni ushauri maji yameshamwagika tiyari japo bado hajanitamkia sikutaki bado ila matendo na vitengo pamoja na maneno nimeshaona
Hivyo naombeni ushauri na kitu gani natakiwa nifanye kipindi hiki hii hali isinitese maana maji yameshamwagikaa hivyoo