buhange
JF-Expert Member
- Oct 23, 2011
- 505
- 110
Ndugu zangu wana JF,
Ni masaa kadhaa yameshapita baada ya mavuno ya vijana wetu wa kidato cha nne kuwekwa hadharani. Inasikitisha sana, hii ni zaidi ya maafa. Kuna haja ya kulitafakari swala hili kwa umakini sana. Nini hasa shida Mfumo, Sera au vijana wetu ni mbumbumbu!. Waziri mwenye dhamana anasitahili kuwajibika ktk hili hasahasa atoe tamko juu ya mafanikio ya shule zake za Kata, maana ni kama viongozi wetu wametusogezea kaburi karibu ili watoto wao waendelee kuonekana vichwa. Kawambwa ajihudhuru.
Ni masaa kadhaa yameshapita baada ya mavuno ya vijana wetu wa kidato cha nne kuwekwa hadharani. Inasikitisha sana, hii ni zaidi ya maafa. Kuna haja ya kulitafakari swala hili kwa umakini sana. Nini hasa shida Mfumo, Sera au vijana wetu ni mbumbumbu!. Waziri mwenye dhamana anasitahili kuwajibika ktk hili hasahasa atoe tamko juu ya mafanikio ya shule zake za Kata, maana ni kama viongozi wetu wametusogezea kaburi karibu ili watoto wao waendelee kuonekana vichwa. Kawambwa ajihudhuru.