Hatimaye naenda kuoa Moshi mke wa pili raha jipe mwenyewe

Hata huyo uliyeachana nae ulikuwa na furaha nae,wote mwanzoni ukupa furaha.
Kama unategemea mwanadamu mwenzio akupe furaha nadhani bado una safari ndefu.
Kuishi na mwanamke kunahitaji akili
 
Wanawake wanalilia Sana ndoa shida uanza wakishapata cheti cha ndoa na kuzaa watoto,uikaribisha ndoa kwa shetani, vurugu mechi,mume anavurugwa anavurugika riziki hazikai kwenye vurugu.
Mume ukimbia akikimbia sababu ya upumbavu wa mwanamke,mwanamke uanza kumtangaza mme mabaya kakimbia katelekeza watoto,uanza kukimbilia kwa waganga na kujazana kwa mwaposa kukanyaga mafuta ya urudisho.
Wanawake wengi wanaolia makanisa asilimia kubwa wao ndio chanzo cha kuzivuruga ndoa zao.
Wanaamini kelele ni suluhisho.
Mwanaume na kelele ni vitu viwili tofauti.
Viumbe visivyopenda kelele duniani ni mwanaume na dolphin.
Wanawake waelewa huwa ni wapotezeaji,wapotezeaji wengi ndo ndoa zao zinadumu na sio hawa wa haki SAwa wa kucopy kwenye tamthilia.
Maana lengo kuu la tamthilia zote ni kubomoa ndoa sio za kiswahili, korea,kihindi,kizungu,nk madirector wanajua nini ajenda au wanatumika bila kujua na darksiders.
 
Wanawake wanalilia Sana ndoa shida uanza wakishapata cheti cha ndoa na kuzaa watoto,uikaribisha ndoa kwa shetani, vurugu mechi,mume anavurugwa anavurugika riziki hazikai kwenye vurugu.
Mume ukimbia akikimbia sababu ya upumbavu wa mwanamke,mwanamke uanza kumtangaza mme mabaya kakimbia katelekeza watoto,uanza kukimbilia kwa waganga na kujazana kwa mwaposa kukanyaga mafuta ya urudisho.
Wanawake wengi wanaolia makanisa asilimia kubwa wao ndio chanzo cha kuzivuruga ndoa zao.
Wanaamini kelele ni suluhisho.
Mwanaume na kelele ni vitu viwili tofauti.
Viumbe visivyopenda kelele duniani ni mwanaume na dolphin.
Wanawake waelewa huwa ni wapotezeaji,wapotezeaji wengi ndo ndoa zao zinadumu na sio hawa wa haki SAwa wa kucopy kwenye tamthilia.
Maana lengo kuu la tamthilia zote ni kubomoa ndoa sio za kiswahili, korea,kihindi,kizungu,nk madirector wanajua nini ajenda au wanatumika bila kujua na darksiders.
Kalunya unakunywa beer gani?
Chukua tatu nitalipa nikirudi Xmas.
Umemuongelea mwanamke tipikoo wa kiswahili. Aisee, wadudu wanamaudhi hao.....
 
Wanawake wanalilia Sana ndoa shida uanza wakishapata cheti cha ndoa na kuzaa watoto,uikaribisha ndoa kwa shetani, vurugu mechi,mume anavurugwa anavurugika riziki hazikai kwenye vurugu.
Mume ukimbia akikimbia sababu ya upumbavu wa mwanamke,mwanamke uanza kumtangaza mme mabaya kakimbia katelekeza watoto,uanza kukimbilia kwa waganga na kujazana kwa mwaposa kukanyaga mafuta ya urudisho.
Wanawake wengi wanaolia makanisa asilimia kubwa wao ndio chanzo cha kuzivuruga ndoa zao.
Wanaamini kelele ni suluhisho.
Mwanaume na kelele ni vitu viwili tofauti.
Viumbe visivyopenda kelele duniani ni mwanaume na dolphin.
Wanawake waelewa huwa ni wapotezeaji,wapotezeaji wengi ndo ndoa zao zinadumu na sio hawa wa haki SAwa wa kucopy kwenye tamthilia.
Maana lengo kuu la tamthilia zote ni kubomoa ndoa sio za kiswahili, korea,kihindi,kizungu,nk madirector wanajua nini ajenda au wanatumika bila kujua na darksiders.
Mwana huu ukweli ulioandika hapa, utakuwa tiba kwa walio na uelewa.
 
Athari za kelele za wanawake kwa mume.

1.Makelele ndio chanzo cha wanaume wengi kushinda bar hadi saa sita usiku wakiamini watamkuta mpiga kelele amelala.
2.Kupungua kwa nguvu za kiume maana mnyama mkali apendi kelele.
3.Wanaume kutembea nje
4.Kupotea au kupungua kwa riziki nyumbani,nyumba yenye kelele roho Mtakatifu anatoka nduki akai, shetani ndo ushika usukani.
5.Magonjwa ya kupalalaizi kupooza, pressure,moyo.
Wanawake wengi kelele zao ndio chanzo cha vifo vingi vya wanaume,wanaume hawana uwezo wa kuhimili kelele au kueleza matatizo yake nje.

Wanawake mkiacha kelele mtaponya ndoa zetu maana mume, kelele uwaondoa wanaume majumbani.
Wanawake wasio na kelele ndoa zao huwa zinadumu.
Kelele za nini kupotezea kuna wacost nini?
KILA kitu mwataka mjue,mfatilie, muulize,nk kumtaka mwanaume awe mtakavyo ni SAwa na kuyapandisha maji milimani.
 
Tafsiri ya neno ndoa ni kuyakubali mapungufu ya mwenzio.
Malezi umpayo mwanao ndio chanzo cha kujenga au kubomoa ndoa ya mwanao,wanandoa uiga waliyoyaona kwa wazazi wao,labda tu awe matured enough.
 
Kwahiyo angekaa miaka miwili ndio yeye asingekuwa tatizo?? Kwa kukaa miaka miwili ndio ataonekana mtalaka wake ndio alikuwa tatizo??

Mbona huu wako ni uwezo mdogo sana wa kufikiri ndugu???

Halafu eti unamtilia nuksi kwa kutomtakia kheri katika ndoa yake. Hakujui humjui, binaadam bhana.

Njooni muwaone wachawi huku jamani
Huyo ni zaidi ya mchawi mamaee
 
Kwahiyo angekaa miaka miwili ndio yeye asingekuwa tatizo?? Kwa kukaa miaka miwili ndio ataonekana mtalaka wake ndio alikuwa tatizo??

Mbona huu wako ni uwezo mdogo sana wa kufikiri ndugu???

Halafu eti unamtilia nuksi kwa kutomtakia kheri katika ndoa yake. Hakujui humjui, binaadam bhana.

Njooni muwaone wachawi huku jamani
Sahivi ni ngumu kuelewa utakuja kuelewa baadaye ,halafu nilichoandika na
Kwahiyo angekaa miaka miwili ndio yeye asingekuwa tatizo?? Kwa kukaa miaka miwili ndio ataonekana mtalaka wake ndio alikuwa tatizo??

Mbona huu wako ni uwezo mdogo sana wa kufikiri ndugu???

Halafu eti unamtilia nuksi kwa kutomtakia kheri katika ndoa yake. Hakujui humjui, binaadam bhana.

Njooni muwaone wachawi huku jamani
Kuna uhusiano gani na uchawi hapo,uelewa wako nawe ndio ulipoishia sikulaumu sn
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom