Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 46,997
- 39,794
Sawa bwashee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo watu awaoleki na huwezi wabadiliMola akujaalie baraka na furaha tele.
Ndoa inatakiwa isababishe furaha kwenye maisha. Naamini ulichukua jitihada za kurekebisha kasoro kwenye ndoa yako ya kwanza ila ikashindikana.
Kila la kheri mkuu
Sema wanawake wa kaskazini.Umesema unakwenda kuoa huko Moshi. Kama unatafuta furaha basi kuwa makini sana. Maana wanawake wa Kichaga ni PASUA KICHWA SANA
Anatoa tatizo anaingiza matatizo. Kumbuka amezaa na huyo mmakonde watoto watatu.Safi sana Kimsboy, hakuna kuchelewa unatoa tatizo unaweka faraja
Kalunya unakunywa beer gani?Wanawake wanalilia Sana ndoa shida uanza wakishapata cheti cha ndoa na kuzaa watoto,uikaribisha ndoa kwa shetani, vurugu mechi,mume anavurugwa anavurugika riziki hazikai kwenye vurugu.
Mume ukimbia akikimbia sababu ya upumbavu wa mwanamke,mwanamke uanza kumtangaza mme mabaya kakimbia katelekeza watoto,uanza kukimbilia kwa waganga na kujazana kwa mwaposa kukanyaga mafuta ya urudisho.
Wanawake wengi wanaolia makanisa asilimia kubwa wao ndio chanzo cha kuzivuruga ndoa zao.
Wanaamini kelele ni suluhisho.
Mwanaume na kelele ni vitu viwili tofauti.
Viumbe visivyopenda kelele duniani ni mwanaume na dolphin.
Wanawake waelewa huwa ni wapotezeaji,wapotezeaji wengi ndo ndoa zao zinadumu na sio hawa wa haki SAwa wa kucopy kwenye tamthilia.
Maana lengo kuu la tamthilia zote ni kubomoa ndoa sio za kiswahili, korea,kihindi,kizungu,nk madirector wanajua nini ajenda au wanatumika bila kujua na darksiders.
Mwana huu ukweli ulioandika hapa, utakuwa tiba kwa walio na uelewa.Wanawake wanalilia Sana ndoa shida uanza wakishapata cheti cha ndoa na kuzaa watoto,uikaribisha ndoa kwa shetani, vurugu mechi,mume anavurugwa anavurugika riziki hazikai kwenye vurugu.
Mume ukimbia akikimbia sababu ya upumbavu wa mwanamke,mwanamke uanza kumtangaza mme mabaya kakimbia katelekeza watoto,uanza kukimbilia kwa waganga na kujazana kwa mwaposa kukanyaga mafuta ya urudisho.
Wanawake wengi wanaolia makanisa asilimia kubwa wao ndio chanzo cha kuzivuruga ndoa zao.
Wanaamini kelele ni suluhisho.
Mwanaume na kelele ni vitu viwili tofauti.
Viumbe visivyopenda kelele duniani ni mwanaume na dolphin.
Wanawake waelewa huwa ni wapotezeaji,wapotezeaji wengi ndo ndoa zao zinadumu na sio hawa wa haki SAwa wa kucopy kwenye tamthilia.
Maana lengo kuu la tamthilia zote ni kubomoa ndoa sio za kiswahili, korea,kihindi,kizungu,nk madirector wanajua nini ajenda au wanatumika bila kujua na darksiders.
unazungumzia wanawake wa kimachame mkuuTatizo aoe mpalestina.
Maisha yataishia ukingoni!
Wanawake wa machame na sama,Dah,Mpalestina ni Nani?
Huyo ni zaidi ya mchawi mamaeeKwahiyo angekaa miaka miwili ndio yeye asingekuwa tatizo?? Kwa kukaa miaka miwili ndio ataonekana mtalaka wake ndio alikuwa tatizo??
Mbona huu wako ni uwezo mdogo sana wa kufikiri ndugu???
Halafu eti unamtilia nuksi kwa kutomtakia kheri katika ndoa yake. Hakujui humjui, binaadam bhana.
Njooni muwaone wachawi huku jamani
Walimwengu hawa nduguHuyo ni zaidi ya mchawi mamaee
Sahivi ni ngumu kuelewa utakuja kuelewa baadaye ,halafu nilichoandika naKwahiyo angekaa miaka miwili ndio yeye asingekuwa tatizo?? Kwa kukaa miaka miwili ndio ataonekana mtalaka wake ndio alikuwa tatizo??
Mbona huu wako ni uwezo mdogo sana wa kufikiri ndugu???
Halafu eti unamtilia nuksi kwa kutomtakia kheri katika ndoa yake. Hakujui humjui, binaadam bhana.
Njooni muwaone wachawi huku jamani
Kuna uhusiano gani na uchawi hapo,uelewa wako nawe ndio ulipoishia sikulaumu snKwahiyo angekaa miaka miwili ndio yeye asingekuwa tatizo?? Kwa kukaa miaka miwili ndio ataonekana mtalaka wake ndio alikuwa tatizo??
Mbona huu wako ni uwezo mdogo sana wa kufikiri ndugu???
Halafu eti unamtilia nuksi kwa kutomtakia kheri katika ndoa yake. Hakujui humjui, binaadam bhana.
Njooni muwaone wachawi huku jamani