The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,475
- 6,858
Hili shindano Kaliua wema sepetu na matabia yake limepoteza mvuto kabisa
Hahaah kawaaibisha hata ambao hawajaendaAmeenda kutia aibu tu
Mmh upo mkuu?Tumeendelea.....
Ilikuwa uteuzi kutoka juu!Huo mchakato wa kumpata ilianza vitonhojini na kutangazwa?
mbona sielewi kuwa miss world ni mrembo kuzidi hata mkwe wangu au ni vitu gani wanaangaliaView attachment 633479
Kwa mara nyingine tena Miss Tanzania 2017 Julitha Kabete ameshindwa kuchomoza katika mashindano ya Miss World yaliyomalizika usiku wa leo huko Sanya China.
Hapo akiwa haamini aliposikia jina lake likitangaza kuwa mrembo wa dunia huku pembeni kulia kwake akiwa ni miss Kenya na kushoto miss Mexico
View attachment 633512
Na Taji limekwenda kwa Miss India Manisha
View attachment 633503
Miss Kenya ameingia katika tano bora za miss world
View attachment 633485
Miss Tanzania hajafika mikono mitupu ameingia katika 20 bora ya Beauty With purpose.... Ni taasisi ndani ya miss World inayoshughulika na huduma za watoto dunia nzima.
View attachment 633484
Unakutananao wapi?Hivi waafrika tunafanyaga makusudi au? Mbona kila siku huwa nakutana na watoto wazuri sijawahi ona duniani, yaani mpaka moyo huwa unanitetemeka kwa uzuri wao, ila tunaowapeleka miss world ndio huwa nakosa majibu, hivi hao majaji wetu wa miss tz ni magasho au?
Sky mbavu zangu jamaniHuyu ndiye yule miss Tanzania kutoka viti maalum
Kuna mwaka mmoja nimesahau ni mwaka gani mnigeria alichukua tajiHaya mashindano wanashindaga weupe tu
Itakuwa wa mwakaniWa mwaka gani
Lakini mwaka2006 miss tz alikua wema sepetu, na ndo huwakilisha nchi ktk miss worldMwaka 2006 Nancy Sumari alikuwa Africa Miss World na alikuwa miongoni mwa 6 bora duniani