tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,317
Kwa mara nyingine tena Miss Tanzania 2017 Julitha Kabete ameshindwa kuchomoza katika mashindano ya Miss World yaliyomalizika usiku wa leo huko Sanya China.
Hapo akiwa haamini aliposikia jina lake likitangaza kuwa mrembo wa dunia huku pembeni kulia kwake akiwa ni miss Kenya na kushoto miss Mexico
Na Taji limekwenda kwa Miss India Manisha
Miss Kenya ameingia katika tano bora za miss world
View attachment 633485
Miss Tanzania hajafika mikono mitupu ameingia katika 20 bora ya Beauty With purpose.... Ni taasisi ndani ya miss World inayoshughulika na huduma za watoto dunia nzima.
View attachment 633484