Habari zenu wakuu,ningependa kuchukua fulsa hii kuwataarifu kuwa mabenk yameanza kutoa tena mikopo kwa watumishi wa umaa,leo nimepokea msg kutoka bank ya Posta ambako nilisubmit maombi ya mkopo tangia mwezi wa tisa kuwa niende bank kurekebisha vitu flan ili nipewe mpunga wangu...lkn pia muda huu katika matembezi yangu nilipitia katika tawi moja la benk ya NMB niukakuta tangazo kuwa mikopo imeanza tena kutolewa kwa riba ile ile ya asilimia 14.kwahiyo ni muda wenu wa kwenda kukopa.
onyo:hakikisha unazitumia pesa za mkopo vizuri ili usije kulia baadae pindi watakapoanza kukata hela zao.
onyo:hakikisha unazitumia pesa za mkopo vizuri ili usije kulia baadae pindi watakapoanza kukata hela zao.