tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Nape Moses NnauyeVerified account @Nnauye_Nape
HABAKUKI 3:17–18 17 Maana mtini hautachanua maua,Wala mizabibuni hamtakuwa na matunda;Taabu ya mzeituni itakuwa bure,Na mashamba hayatatoa chakula;Zizini hamtakuwa na kundi,Wala vibandani hamtakuwa na kundi. 18 Walakini nitamfurahia BWANANitamshangilia Mungu wa wokovu wangu.
HABAKUKI 3:17–18 17 Maana mtini hautachanua maua,Wala mizabibuni hamtakuwa na matunda;Taabu ya mzeituni itakuwa bure,Na mashamba hayatatoa chakula;Zizini hamtakuwa na kundi,Wala vibandani hamtakuwa na kundi. 18 Walakini nitamfurahia BWANANitamshangilia Mungu wa wokovu wangu.