Hatimaye Messi ashinda kombe la kwanza akiwa na Argentina

denooJ

JF-Expert Member
Mar 31, 2020
18,511
68,141
Hiyo ni baada ya kuifunga Brazil kwenye final ya Copa America kwenye dimba la Maracana. Messi hapo kabla alikuwa hajawahi kushinda kombe lolote akiwa na timu yake ya taifa. Goli pekee la Argentina likifungwa na Angel di Maria dakika ya 22.

Hiyo ni baada ya kupoteza final ya Kombe la dunia dhidi ya Ujerumani walipochapwa 1-0, na mara kadhaa kupoteza akiwa na Argentina kwenye mashindano ya Copa America. Likiwa ni kombe la kwanza kwa Argentina tangu mwaka 1993.

Hatua hii itamuongezea heshima na kutambulika zaidi kwani hakuwahi hapo kabla kuisaidia Argentina kupata kombe lolote licha ya kuibeba Barcelona kutwaa mataji kadhaa yakiwema UEFA Champions league, Club World Cup, La Liga, na Copa del Rey,

Hatua hii itamuondolea mzigo wa lawama uliomuandama kwa miaka kadhaa akiwa na timu yake ya taifa.

Well done Lionel Messi.
 
Hello!!! Sikutaka kusema chochote, nilisubiria hadi mpira uishe,...

Nilikuwa naomba usiku na mchana ili tu Messi10 ashinde taji akiwa na timu yake ya Taifa...

Mungu si Athuman, amefanya kweli. Hata wasipompa Ballon D'or yake ya 7 kwangu ni sawa tu japo watakuwa wamepingana na Johan Cruyff ambbae aliwahi kusema "Probably he may win 5, 6 or 7 Ballon D'or"

All in all, Big up kwa Team Messi10 wote popote mlipo...

Ninafraha kubwa isiyokifanika....
Ahsante Ahsante Ahsante Mungu wa kweli kwa ushindi huu wa kihistoria kwa huyu "mchawi wa mpira kuwahi tokea ktk Dunia hii". Tuilikuwa tunasikitika, kufedheheka na kushangaa kila uchwao kwamba wewe [MUNGU] ndiyo uliyemleta mfalme huyu wa soka hapa Dunia kutoka Sayari nyingine..sasa iweje umunyime kombe na timu yake ya Taifa!!???.

Ahsante Mungu... Sasa ruksa kwa Mfalme huyu kustaafu Mpira muda wowote anaotaka kuanzia sasa, maana ameshashinda Kila taji katika burudani hii ya Soka hapa Duniani.

"I Rest My Case"....
Screenshot_20210711-060029_1.jpg
 
Jamani mbona inaonekana kama messi ndio kabeba kombe na si argentina?
7bu haters wote duniani walikariri kuwa "Messi10" Hana msaada Wala mchango wowote ktk timu ya Taifa lakini walisahau kwamba Messi10 huyo huyo ameifikisha Argentina kwenye fainali za mashindano makubwa mara 5 Sasa, yaani "Copa America" final mara 4 ikiwemo hii ya Leo 2021 na "world cup" final 2014 mara 1.

7bu ya mwisho, ni top scorer kwenye mashindano hayo, amefunga magoli 4 na assist 5.
 
Hiyo ni baada ya kuifunga Brazil kwenye final ya Copa America kwenye dimba la Maracana. Messi hapo kabla alikuwa hajawahi kushinda kombe lolote akiwa na timu yake ya taifa. Goli pekee la Argentina likifungwa na Angel di Maria dakika ya 22.

Hiyo ni baada ya kupoteza final ya Kombe la dunia dhidi ya Ujerumani walipochapwa 1-0, na mara kadhaa kupoteza akiwa na Argentina kwenye mashindano ya Copa America. Likiwa ni kombe la kwanza kwa Argentina tangu mwaka 1993.

Hatua hii itamuongezea heshima na kutambulika zaidi kwani hakuwahi hapo kabla kuisaidia Argentina kupata kombe lolote licha ya kuibeba Barcelona kutwaa mataji kadhaa yakiwema UEFA Champions league, Club World Cup, La Liga, na Copa del Rey,

Hatua hii itamuondolea mzigo wa lawama uliomuandama kwa miaka kadhaa akiwa na timu yake ya taifa.

Well done Lionel Messi.
MBUZI
 
7bu haters wote duniani walikariri kuwa "Messi10" Hana msaada Wala mchango wowote ktk timu ya Taifa lakini walisahau kwamba Messi10 huyo huyo ameifikisha Argentina kwenye fainali za mashindano makubwa mara 5 Sasa, yaani "Copa America" final mara 4 ikiwemo hii ya Leo 2021 na "world cup" final 2014 mara 1.

7bu ya mwisho, ni top scorer kwenye mashindano hayo, amefunga magoli 4 na assist 5.
Watasema kombe limechezwa usiku mno
 
Niliumia sana Messi kukosa World Cup sana sana ukiangalia jitihada zake.
Kapambana sana acha avimbe
Our own Messi
 
Hello!!! Sikutaka kusema chochote, nilisubiria hadi mpira uishe,...

Nilikuwa naomba usiku na mchana ili tu Messi10 ashinde taji akiwa na timu yake ya Taifa...

Mungu si Athuman, amefanya kweli. Hata wasipompa Ballon D'or yake ya 7 kwangu ni sawa tu japo watakuwa wamepingana na Johan Cruyff ambbae aliwahi kusema "Probably he may win 5, 6 or 7 Ballon D'or"

All in all, Big up kwa Team Messi10 wote popote mlipo...

Ninafraha kubwa isiyokifanika....
Ahsante Ahsante Ahsante Mungu wa kweli kwa ushindi huu wa kihistoria kwa huyu "mchawi wa mpira kuwahi tokea ktk Dunia hii". Tuilikuwa tunasikitika, kufedheheka na kushangaa kila uchwao kwamba wewe [MUNGU] ndiyo uliyemleta mfalme huyu wa soka hapa Dunia kutoka Sayari nyingine..sasa iweje umunyime kombe na timu yake ya Taifa!!???.

Ahsante Mungu... Sasa ruksa kwa Mfalme huyu kustaafu Mpira muda wowote anaotaka kuanzia sasa, maana ameshashinda Kila taji katika burudani hii ya Soka hapa Duniani.

"I Rest My Case"....View attachment 1849162
Nataka huu mzuka waende nao kwenye World Cup wafanye final push tuone mwisho wao utakuwaje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom