Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Oh ahsante kwa taarifa. Mi nilijua ni ME...kwa swala la umbea kwa huyu jamaa ,mi kusema kweli sijawahi muweka jinsia ya me namwona kama KE hv
Oh ahsante kwa taarifa. Mi nilijua ni ME...kwa swala la umbea kwa huyu jamaa ,mi kusema kweli sijawahi muweka jinsia ya me namwona kama KE hv
Kweli mkuu ..pesa sio matako kwamba kila mtu anazo.. ni wakati wa kuwaheshimu wenye nazo...Wanaomchukia wengi akina hance hawana hata ist huku yy anaendesha x5, sijui wanafaidika nn
Vijana wa kitanzania tuna matatizo sana!Kaanza kuishiwa mpunga hakuna namna lazma jeuri iishe .
Kaanza kuishiwa mpunga hakuna namna lazma jeuri iishe .
Ndio maana haendelei.Yule jamaa ni m-binafsi sana.
Ali Kiba misiba kibao huwa haendi.Tatizo la wabongo mnasahau kuwa kuna Maisha ya uhalisia Nje ya mitandao" Mnataka kila kitu kiwe kinafanyika mitandaoni".. itafika mahali mtataka hao ma star wenu wawe wanalala nakuamka humo humo mitandaoni"..... Mtoa Mada hivi ni nani bora kati ya anaye mpost marehemu mitandaoni na yule ambaye anajihimu kwenda kumzika marehemu ""???!!!
haahaa hance bwana ... hauishiwagi hojaAli Kiba misiba kibao huwa haendi.