Hatimaye Masanja wa Ze Comedy anieleza haya

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Katika hali ya kutaka kujua kulikoni hadi Ze Comedy wakaamua kumvaa Slaa , niliamua kuwatafuta kwa udi na uvumba na hatimaye Masanja aliangukia mikononi mwangu . Nilikuwa natoka kwenye shirika moja la ndege hapa Dar naeleke Magomeni nilipo muona yuko kwenye gari la giza nene. Lakini kwa kuwa tuna mbinu za kipolisi za kuangalia watu na kutambua mambo basi niliweza kumsoma vilivyo. Ndipo nikaanza kumfukuza na kumpa isahara ya kusimama mithiri ya Polisi lakini si mwelewa so hakuelewa what I meant hadi nikaamua kumtumia polisi kumsimamisha .

Nikajitambulisha kwamba mimi ni Mzee Lunyungu wa Jambo Forum na kumuuliza kama anaijua JF . Masanja ni mtupu sana akasema hajui lolote .

Nikamuuliza namna ya maandalizi yao ya vichekesho na hata kuwavaa watu ambao huwa wanawavaa . Akajibu kwamba ni taratibu zao ndipo nikamuuliza kama anajua kwamba aliwaudhi wana mapinduzi na walala hoi wengi kwa kumsagia Slaa? Akasema hajui ila anasema they were pressurised as well to go on air . By whom he did not mention.

Lakini alisema kwamba wanapata vitisho sana toka juu na hata wawapo studio huwa wana hofu kubwa kama watakuwa salama baada ya show zao kwa kuwa wanapokea vitisho kibao kuacha kuisema Serikali .

Sasa niliona nije niwape hili na kama mnataka nama yake naamini atakuwa tayari kusema nanyi naweza kuwapa ili muongee naye msikie wenyewe .

Kwa kifupi show yao inawapa wakati mgumu na wanaambiwa wanatakiwa kuitumikia CCM na si zaidi ya hapo kama wanataka mambo yao yanyooke .
 
Hii ina fit sana kwenye jokes na udaku. Adm pls imehamishie kunakostahiki....
 
wala wasihamishe, mada hazihamishwi tena toka "siasa" ni kumkoma nyani giledi hapa hapa... naona "wenyewe" mmeanza kutaka mada zihamishwe. Ama kweli viazi vinatakiwa kusema, miogo ikijaribu inaambiwe yenyewe "mizizi"...
 
wala wasihamishe, mada hazihamishwi tena toka "siasa" ni kumkoma nyani giledi hapa hapa... naona "wenyewe" mmeanza kutaka mada zihamishwe. Ama kweli viazi vinatakiwa kusema, miogo ikijaribu inaambiwe yenyewe "mizizi"...

Talking abt kulia lia....
 
Katika hali ya kutaka kujua kulikoni hadi Ze Comedy wakaamua kumvaa Slaa , niliamua kuwatafuta kwa udi na uvumba na hatimaye Masanja aliangukia mikononi mwangu . Nilikuwa natoka kwenye shirika moja la ndege hapa Dar naeleke Magomeni nilipo muona yuko kwenye gari la giza nene. Lakini kwa kuwa tuna mbinu za kipolisi za kuangalia watu na kutambua mambo basi niliweza kumsoma vilivyo. Ndipo nikaanza kumfukuza na kumpa isahara ya kusimama mithiri ya Polisi lakini si mwelewa so hakuelewa what I meant hadi nikaamua kumtumia polisi kumsimamisha .

Nikajitambulisha kwamba mimi ni Mzee Lunyungu wa Jambo Forum na kumuuliza kama anaijua JF . Masanja ni mtupu sana akasema hajui lolote .

Nikamuuliza namna ya maandalizi yao ya vichekesho na hata kuwavaa watu ambao huwa wanawavaa . Akajibu kwamba ni taratibu zao ndipo nikamuuliza kama anajua kwamba aliwaudhi wana mapinduzi na walala hoi wengi kwa kumsagia Slaa? Akasema hajui ila anasema they were pressurised as well to go on air . By whom he did not mention.

Lakini alisema kwamba wanapata vitisho sana toka juu na hata wawapo studio huwa wana hofu kubwa kama watakuwa salama baada ya show zao kwa kuwa wanapokea vitisho kibao kuacha kuisema Serikali .

Sasa niliona nije niwape hili na kama mnataka nama yake naamini atakuwa tayari kusema nanyi naweza kuwapa ili muongee naye msikie wenyewe .

Kwa kifupi show yao inawapa wakati mgumu na wanaambiwa wanatakiwa kuitumikia CCM na si zaidi ya hapo kama wanataka mambo yao yanyooke .

Kumbe hawajiamulii cha kuigiza sio?
Sasa sanaa nayo ishaingiliwa na ufisadi.'
Tumekwisha
 
Admin ukihamisha hii mada itabidi lunyungu aanze kupondea JF (just kidding) kwa kuhamisha mada yake. Aanze kwa kusema kuwa JF imechuja na sio makini tena, na pia aseme kuwa ni ya wanassm (utani)!
 
Na kwa ushahidi wa maneno yangu last show yao Masanja aliingia kavaa magwanda ya CCM rasmi kuonyesha kuitikia wito huo maana wanadai through him watu wanaweza kuijua CCM zaidi .

Masatu unasema udaku? Nina full details sasa udaku ni upi ? Masanja hana akili zaidi ya kuchekesha ya kunishinda kumsoma na nikamchimba na akasema kulikoni.

Huu si udaku hata mara moja .
 
Na kwa ushahidi wa maneno yangu last show yao Masanja aliingia kavaa magwanda ya CCM rasmi kuonyesha kuitikia wito huo maana wanadai through him watu wanaweza kuijua CCM zaidi .

Masatu unasema udaku? Nina full details sasa udaku ni upi ? Masanja hana akili zaidi ya kuchekesha ya kunishinda kumsoma na nikamchimba na akasema kulikoni.

Huu si udaku hata mara moja .

Ni kweli watu wengi wanaangalia ze Komedi na ni watu wachache sana wanasoma magazeti na mtandao. Unaambiwa kuanzia wamaofisini hadi wafanyakazi wandani nasikia huwa wanawahi kwenda kuangalia Ze Komedy na vilabu vya pombe vinajaa watu wanaoangalia Ze Komedy kwa wale ambao hawana TV. Kama CCM wameiteka ni wazi kama wanataka kufikisha ujumbe ni rahisi sana kuwafikia watu. Ila kama ni kweli ni mwelekeo mbaya sana kwa Ze Komedy watakufa Kifo cha kimya kimya.
 
pipo said it n i supported that sisiem wanatumia mabavu n want to win support ya watu upya due to uchafu wanaodo..therez nothing they do for the pipo more than kujilimbikizia mijiheela..hata barabara wakitengeneza vijijini ni pindi mkubwa akienda..
 
Na bado, wameiba benki kuu, wameuza nchi yote, na sasa kikwete anasafiri dunia nzima akisaini mikataba ya kuuza nchi, miaka mitano kuanzia sasa, kutakuwa na berlin conference nyingine ya kuigawa Tanzania! ze comedy itabidi watoe comedy kwa kichina maana dar imeuzwa kwa wachina tayari na lowasa anataka kichina kifundishwe mashuleni!
 
Na bado, wameiba benki kuu, wameuza nchi yote, na sasa kikwete anasafiri dunia nzima akisaini mikataba ya kuuza nchi, miaka mitano kuanzia sasa, kutakuwa na berlin conference nyingine ya kuigawa Tanzania! ze comedy itabidi watoe comedy kwa kichina maana dar imeuzwa kwa wachina tayari na lowasa anataka kichina kifundishwe mashuleni!

Bwawa lishaingia luba! kidogo kidogo tunatoka kwenye hoja, Im out on this...
 
Huyo snayesema huu ni udaku naona hana mwelekeo,just ignore him,Lunyungu tupe mambo,na hao Ze Comedy mwaka huu watakiona,mie next time,nitafanya mpango wapate hii site walau waitembelee,kumbe ni watupu kiasi hicho.
 
Hii ni mada very serious, na ninashangaa kuna watu wanataka ihamishwe kweli tu hawakubalianai nao. Huku kulia kulia kwingine kumepitwa na wakati!
 
Mimi nawaambia impact ya hawa jamaa kuihadaa jamii ni kubwa sana naona watu wanapuuza ila nawaambia kwani ni watanzania wangapi wanaangalia Ze Komedy? ni wengi sana. Na ni wangapi wasoma JF na magazeti makini? ni wachache sana. Sasa watu hapa watakuja na kuipondea hii mada lakini nawaambia inaimpact kunbwa sana kwa jamii. Ni rahisi kwa Ze komedi kufikisha ujume kuliko wengi hapa tunavyofikiria.
 
Hawa Ze comedy wanaangaliwa kila mahali na hiyo msg inafika sio mchezo, kwa nini kina Komba walalamike kama haikuwatouch. i think they should learn a thing or 2 kutoka kwa redikulous wa kenya hao vijana dont beat around the bush kitu kinamwagwa kilivyo, black and white na hakuna pressure ya mtu yeyote inatumika.
 
Na bado, wameiba benki kuu, wameuza nchi yote, na sasa kikwete anasafiri dunia nzima akisaini mikataba ya kuuza nchi, miaka mitano kuanzia sasa, kutakuwa na berlin conference nyingine ya kuigawa Tanzania! ze comedy itabidi watoe comedy kwa kichina maana dar imeuzwa kwa wachina tayari na lowasa anataka kichina kifundishwe mashuleni!

jamani mbona mwataka mvurugia mwenzenu plan za biashara yake na washkaji zake ya kuuza nchi?sio fresh hivyooo let him change hali za hewa za nchi mbali mbali..bado kwenda mwezini,mars na sehemu zingineko...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom