witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,098
Hapana ni kutokana na chuki yake kwa hovUnadhani inaweza kuwa kweli?
Hapana ni kutokana na chuki yake kwa hovUnadhani inaweza kuwa kweli?
halafu khaled alivyomjanja, kwenye hii album, kipengele cha executive producer kaweka majina ya watoto wake.
hii hata ikitokea leo Mungu kamchukua, watoto wake watatambulika kama wamiliki halali wa album na wataendelea kula royalties(mrabaha) mpaka uzee wao.
full album inapatikana kwenye app maalum zinazohusika na biashara ya kuuza music content mitandaoni. ingia Spotify utaikuta mkuu.Naweza kupata link ya album husika mkuu...?
Natanguliza shukran kwako.
Thanks...!
full album inapatikana kwenye app maalum zinazohusika na biashara ya kuuza music content mitandaoni. ingia Spotify utaikuta mkuu.
au unataka link ya kudownload bure malipo?. ingia youtube.
UchafuCardi B yumo,Lil baby yumo na etc
mzigo huu hapa upo boomplay.Ooooh Owkay nimekupata kiongozi unamaanisha YouTube ipo mkuu...?
mzigo huu hapa upo boomplay.
View attachment 1771523
unashida nayo sana ehUnalipia kiasi gani hii mkuu kuishusha yote..?
Nas ana jealous for what? Hizi beef za hip hop, ni biashara tu. Sasa tatizo ni mismanagement ya hizi beef huzaa matatizo kama violence.Nas ana jealous tu. Jizzo ni tawi jingine yule. Gheto boy, kama unataka kumwelewa Jizzo sikiliza inteview zake. Very humble. I don't understand why people hate him! Even Queen B mwenyewe ageuzi. Unajua kwasababu gani? Jamaa ni genius kinoma, we sikiliza rylics zake. Kwahiyo Nas hawezi kugeuza kwa J. Na huo ndio ukweli na kila mtu anajua
You nailed it....Siyo kweli Mkuu.
Ungesema ni wale wanafunzi ambao kazi yao ni kukusanya points kutoka kwa wenzao, kuorganize points za nani zikae juu, kuzitype na kuandaa kava.
Na wanahakikisha jina lao linakuwa juu.
Ask KendrickMimi naomba kujua kitu kimoja tu kuhusu huu muonekano wa Jay kadri siku zinavoenda na hzo dreads kichwan..
Sio mbaya kwa mtu kuwa nazo ila kwa mtu kama Jay ambaye ni smart sana kwann aliamua kuwa na mtindo huo, je amewahi kuelezea chochote ktk interview zake kwa wanaomfatilia?
Au ni mashart ya chama alichopo kinamtaka awe ivo..
Nakumbuka Oprah aliwah kumsifia sana huyu mwamba kwa usmart alionao,alidatishwa sana na perfume anayoitumia mara walipokumbatiana ktk event flan..ilikua ni miaka ileeee
unashida nayo sana eh
unatumia simu au laptop
kama unatumia simu nitumie 1000 nkupatie
kama unatumia computer..nikupe Link kwasababu ipo katika zipped file uta extract
Sent using Jamii Forums mobile app
DJ Khaled ni wale wanafunzi chuoni hawafanyi Group Assignments ila wao huomba kuwekwa JINA tu!
Au wale hata hawahusiki kuandaa PRESENTATION, just put their NAMES on the list.
ANOTHER ONE
Nyimbo yake anashirikisha msanii mkalii halaf ye utasikia tu another one ila nyimbo zake nzurii sana
We are the best musicI'm number one in this b!tch and I'ma stay there!! We the best of the best.
Exactly 😂😂😂 wazee wa “In conclusion we can say that...”DJ Khaled ni wale wanafunzi chuoni hawafanyi Group Assignments ila wao huomba kuwekwa JINA tu!
Au wale hata hawahusiki kuandaa PRESENTATION, just put their NAMES on the list.
ANOTHER ONE
taanxNipo na laptop kiongozi but naweza pia nikakutumia hiyo 1000 haina shida mkuu...!
Unammwagia sifa tu sema huyo dj mwarabu anadandia watu maarufu ili apenye ukitaka kujua je dj khaled ni maarufu mwambie asimame yeye kama yeye uone kama atatoboaMzee wa chombeza kwenye nyimbo zake na anauza balaa......jamaa wa ajabu sana kwenye muziki