Vaticano
Member
- Sep 18, 2010
- 75
- 0
Hawana sera sasa hivi mwaka huu wameshikwa pabaya ndio maana wanahaha kila mahali kwenye TV,MAGAZETINI na kwingineko lakini wakae wakijua kuwa wataendelea kuvuliwa nguo hadharani kwa kuwa kila kinachoongelewa juu yao na ushaidi pia upo ndio maana Chegeni anahangahika na kupiga propaganda zisizo na msingi wowote ule
Walijaa zaidi ya hii wakati wa Mrema, itakuwa wakati wa huyu padri aliyefulia?