Hatimaye maadui wamekuwa msaada, hakuna ajuae kesho yake

Wakuu kuna viumbe wanaitwa Bodaboda. Nadhani wengi tunawafahamu sana. Kwa watumiaji wa barabara nadhani tunawafahamu zaidi. Namaanisha kwa kero na adha tunazokutana nazo juu yao.

Binafsi nimeathiriwa nao mara kadhaa ikiwemo kunigongea(kuvunja site mirrors zangu kadhaa)? Kugonga ndugu zangu (wapita njia) matusi, overtaking za ghafla na kupita mbele yangu kumeko nifanya mara kadhaa kudondoka mtaroni nikikwepa kuwagonga. Hayo kwa uchache yakiwepo mengine mengi yalonifanya niwe na fikra mbaya juu ya hwa viumbe na mara niwaonapo popote nakuwa makini zaidi nakuchukulia kama nimeona adui.

Juzi kati mida ya sa 12 nikiwa nimetoka job nikiwa mwendo mdogo mdogo kufika mwananchi foleni ikawa kubwa nikajongea hadi maeneo ya Matumbi nikaona si mbaya nichepuke mara moja (kupita service road) angalau nisogeesogee. Nikawa nachepuka narudi road nachepuka narudi road nilipokaribia Buguruni nikachepuka kwa speed niwahi kuvuka kabla trafki hawajaruhusu magari kutoka K/koo, nilipolikaribia daraja la juu la Buguruni nikawa naforce kurudi mainroad kumkimbia traffic officer hapo ndo nikajikuta nakutana roli ile kulikwepa kwakuwa nikamgonga bajaji na kwenda nae hadi kwenye zile bomba za barabarani zinazotenganisha barabara moja na nyingne akabamiza nakupinduka huku bajaji ikiwa haitamaniki na wale abiria wakijeruhiwa japo hakuna aliekufa.

Kwakuwa taa zilikuwa zimekwisha ruhusu hivyo gari zilikuwa zikimiminika nami nikaunga kuwahi kuvuka Tazara (Hapo ndo nikakuza tatizo) wananzengwe wakahisi nakimbia si wakaniungia. Nimekimbia nafika mchicha naona bajaji na Bodaboda kibao wameniungia nyuma ikibidi akili initume niache gari nikimbie wasijenidhuru.

Nilipo fika Karakana nikaingia njia ya juu nikapaki nikimbie kumbe Bodaboda wa pale wanaona ile movie nilisikia Bodaboda mmoja akisema kwa sauti kubwa brother Acha funguo kwa akili isio kuwa yangu nikarusha funguo bila kujua nampa nani na kwa lengo gani. Nimekimbia kama hatua kumi na tano nikasikia pikipiki zinakuja kwa kasi ila kuna moja iko mbele zaidi ilivyonikaribia akanambia brother panda watakuuwa nikapanda huku msururu wa Bodaboda zikitufukuzia. Akanipitisha njia ya juu kama unaenda Bombom kufika kwenye msikiti flan kwambele akaacha road then akaanza kuingia chocho za kiwalani mule hali ya hewa aisee apo roho akili na moyo vishasaliti mwili zimebaki nyama tu.

Yule jamaa akanizungusha vichochoroni huku milio ya pikipiki ikipungua japo kuna wachache bado wanakomaa na sisi tu kavuka kijumba flani akanishusha niingie ye akanyoosha apo ndo nikasevu.

Kwa uwezo wa Mungu kule nilikopaki gari wale Bodaboda wote walipitiliza baada yakuniona nimetoka kwenye gari nakimbia na baada ya kunikosa ndo wakawaza kurudi washambulie gari ndipo jamaa alieninyang'anya funguo akawa ashalitoa japo kuna waliomuona (wale wanaobakigi nyuma) ila wakatilia mashaka kuwa si lile gari maana aliomo ndani kuna wanaomjua (Bodaboda mwenzao).

Nilikaa pale nilipofichwa mpaka saa3 usiku najishika mfukoni simu nimeacha kwenye gari, nikavua nguo za juu nikabaki na vest na pens (ndani huwa navaa pens badala ya boxa) nikarudi pale karakana kwa machale yan nikiona mtu ananiangalia tu najua anafatilia. Sasa nafika pale nilipoacha gari sijakuta mtu wala gari nikabaki nimezubaa na mipensi yangu kama chizi .

Nikaamua kwenda home chamsingi me mzima vingine ni vyakupatikana ti( ila ilo negotiate rahisi kulitamka kuliishi kazi sana. Nikachukua bajaji hadi home nikafika jirani na napoishi nikamuomba bajaji aninunulie japo lishati lolote nitamlipia pamoja na nauli nikifika home. Nikaingia geto nikachukua pesa nikampa (na hapa ndo niliona umuhimu wa kuishi na cash japo kidogo ndani maana kadi na id zingine niliacha kwenye gari.

Usiku sikulala nilikuwa naweweseka tu. Asubuhi ndio kausingizi kakanipitia kidogo hadi saa1 kasoro ndo nakurupuka sikutana sikuswaki wala kuoga nilichokumbuka ni kunawa uso tu. Nikawahi faster karakana kweli nikakuta Bodaboda kama wa4 ivi ( ila sikuwa namkumbuka yeyote ile jana maana Sikuwa mimi na ilikuwa usiku pia.

Nikafika nakaa pembeni nawaza nianzeje mara na wao wakaanza zile story. Nikamwita mmoja pembeni nikaongea nae naye akawaita wenzeke Alhamdulillah wakakubaLi na kusema vitu vyako vyote vipo salama (nilishangaa sana mana wengeweza kunikana na nisifanye chochote kwakuwa sikuwa na ushahidi, sikuwa na namba zao za simu na hata sikuwa nimewakariri sura) mmoja akatoa funguo akanionyesha then wakawasha pikipiki wakanipeleka stend ya vingunguti tukapanda juu njia ya vumbi walikopaki gari kumbe waliingiza kiwandani kwenye viwanda vya Mo pale Kiwalani.

Nilivyofungua gari nikakuta vitu vyangu vyote vipo sawa kasoro gazeti tu ndo walichukua kubebea miogo eti.

Kiukweli kisa hiki kimenigusa sana nikaona nije share na ndugu zangu wa JF maana nilowaweka kwenye kundi la adui zangu wamekuwa zaidi ya msaada kwangu na mali zangu. Sina cha kusema kwa Bodaboda wa Karakana.
Sasa umefanyiwa wema. Neda kamtafute uliemgonga ukamlipe bajaji yake.na.matibabu utoe kwa wale walioumia. Ukishindwa hapo mabaya yatakuandama zaidi.
 
.... wana dharau sana hawa jamaa. Mfano taa zimeruhusu magari yanaflow yeye anatokea spidi upande tofauti kabisa akilazimisha aingie mbele yako na wanaingia.

Ni rush hours mko barabara ya njia mbili upande mmoja kuna lori na bodaboda yuko upande wa pili mwendo sambamba na lori makusudi mazima ili msipite tena anajifanya kubofya simu! Hiyo ni mifano tu scenario ziko nyingi sana.

Bila hatua madhubuti tatizo la bodaboda sio la kuisha leo wala kesho maana wanaongezeka exponentially. Itafika siku watafunika barabara zote! Ni muda sasa mamlaka zikajifunze nchi nyingine zilizostaarabika wana-handle vipi bodaboda.
Kabisa kabisa. Tena na matusi juu anakuona we ndo unamzingua
 
Boda kakuchukua, waliokuwa wanakukimbiza wakamngoja mpaka aje awashe gari, wanamuangalia tu anavyoingia, wakati wanalikimbiza na wanakuona bado wanaliacha na kulisahau! Hii chai Ina kiungo cha Mlonge.

Umegonga watu, bodaboda Kwisha, then Police hawakuvuta gari kwenda kituoni ulipoliacha, wala Ngoja bodaboda aje? Aliwashe alibebe? No trace, no kituoni nothing?
Hujasoma vizuri kaka mbona post inajielezea..
 
Mkuu kamshukuru Mungu maana Kuna jamaa wa kijijini kwetu uko kama miezi miwili uliyopita aligonga boda boda uko dar akukimbia ili amsaidie kumpeleka hospital maana boda aliumia tuu Ila mwisho wa siku bodaboda waliokua pale na wananchi wengine walimpiga sana huyo ndugu hadi kusababisha kifo chake na kuharibu gari kabisa. Iliuma Sana mkuu acha
 
Jamaa una bahati sana maana kwa ninavyowajua bodaboda hyo gari unaikuta juu ya mawe
Yani kama mungu tu. Mana mpaka sasa najiuliza hivi walikosaje akili yakubaki kwanza kwenye gari au kwakuwa nilikuwa karibu nao wakajihakikishia kunidaka? Au kwakuwa gari lilibaki kwenye kijiwe cha Bodaboda wenzio wakahisi lipo chini ya ulinzi?.. yote kwa yote Mungu akaamua kukusaidia hakuna kinachoshindikana
 
Reckless driving imekupelekea shida zote hizo. Kwani ukiendesha gari kwa kufuata sheria za barabarani utapungukiwa nini?

Siungi mkono hayo wanayofanya bodaboda lakini kwa kisa hiki chako wangetakiwa wakukamate wakutie vitasa vyakutosha ili siku nyingine uwe na adabu barabarani.

Anyway, natumaini umepata somo pia kwa tukio hilo. Na ukiendelea na udereva huo wa kiwaki yatakukuta soon.
Ahsanteh kwa nasaha kaka japo kama nawewe ni mtumiaji wa chombo cha moto siamini kama hujawahi fanya rough. Ila nakili kosa mkuu
 
Ahsanteh kwa nasaha kaka japo kama nawewe ni mtumiaji wa chombo cha moto siamini kama hujawahi fanya rough. Ila nakili kosa mkuu
Makosa yapo lakini usifanye makosa ya makusudi mkuu. Unapotanua tanua na kuchomekea hovyo huo sio udereva kaka.

Haraka zako zitakuwahisha wewe na wengine wasio na makosa kaburini au kukugharimu kwa kupata wewe au kuwasababishi wengine life changing injuries n.k
 
Boda kakuchukua, waliokuwa wanakukimbiza wakamngoja mpaka aje awashe gari, wanamuangalia tu anavyoingia, wakati wanalikimbiza na wanakuona bado wanaliacha na kulisahau! Hii chai Ina kiungo cha Mlonge.

Umegonga watu, bodaboda Kwisha, then Police hawakuvuta gari kwenda kituoni ulipoliacha, wala Ngoja bodaboda aje? Aliwashe alibebe? No trace, no kituoni nothing?
Hujaelewa, rudia tena kusoma!
 
Katika pilika pilika za maisha kama kuna jambo limetokea siku zote tunapaswa kuangalia ni CHANZO CHAKE na MATOKEO YAKE. Chanzo cha mahangaiko yote haya uliyoyapata na madhila uliyoyasababisha kwa Bajaji na abiria wake na hadi Boda Boda ni WEWE, UZEMBE WAKO wa kuendesha gari bila kuzingatia sheria umesababisha matatizo kwako na kwa wengine. Laiti kama ungeendesha chombo chako kwa kuzingatia sheria za barabarani yote yasingetokea. Unapotafakari umejifunza nini kwenye hili usijikite kwa jinsi ulivyoponyoka mikononi mwa Boda boda na polisi, (Matokeo) bali jikite jinsi gani UBADILIKE (Chanzo) ili siku nyingine usisababishe ajali, majehuri na vifo kwa wengine,

Pamoja na kwamba wengi wanawalaumu BodaBoda kwa uendesahji wao, lakini kuna kundi kubwa la vijana waendesha magari hasa madogo madogo kama IST, Vitz, Sieta, Olpa, Wish, Passo ambao nao hawana tofauti na Boda Boda kama mleta mada hapa, wanaendesha kwa fujo, kwa kasi isiyo lazima wakati hana sababu zozote za kwenda mwendo wa kasi kama huo.


Kumbuka CHANZO NI WEWE TANGU MWANZO HAYA MWENGINE NI MATOKEO TU. Hivyo usihangaike na matokeo bali hangaika na chanzo.
 
Boda kakuchukua, waliokuwa wanakukimbiza wakamngoja mpaka aje awashe gari, wanamuangalia tu anavyoingia, wakati wanalikimbiza na wanakuona bado wanaliacha na kulisahau! Hii chai Ina kiungo cha Mlonge.

Umegonga watu, bodaboda Kwisha, then Police hawakuvuta gari kwenda kituoni ulipoliacha, wala Ngoja bodaboda aje? Aliwashe alibebe? No trace, no kituoni nothing?
Tuliza akili soma taratibu utaelewa.
 
Wakuu kuna viumbe wanaitwa Bodaboda. Nadhani wengi tunawafahamu sana. Kwa watumiaji wa barabara nadhani tunawafahamu zaidi. Namaanisha kwa kero na adha tunazokutana nazo juu yao.

Binafsi nimeathiriwa nao mara kadhaa ikiwemo kunigongea(kuvunja site mirrors zangu kadhaa)? Kugonga ndugu zangu (wapita njia) matusi, overtaking za ghafla na kupita mbele yangu kumeko nifanya mara kadhaa kudondoka mtaroni nikikwepa kuwagonga. Hayo kwa uchache yakiwepo mengine mengi yalonifanya niwe na fikra mbaya juu ya hwa viumbe na mara niwaonapo popote nakuwa makini zaidi nakuchukulia kama nimeona adui.

Juzi kati mida ya sa 12 nikiwa nimetoka job nikiwa mwendo mdogo mdogo kufika mwananchi foleni ikawa kubwa nikajongea hadi maeneo ya Matumbi nikaona si mbaya nichepuke mara moja (kupita service road) angalau nisogeesogee. Nikawa nachepuka narudi road nachepuka narudi road nilipokaribia Buguruni nikachepuka kwa speed niwahi kuvuka kabla trafki hawajaruhusu magari kutoka K/koo, nilipolikaribia daraja la juu la Buguruni nikawa naforce kurudi mainroad kumkimbia traffic officer hapo ndo nikajikuta nakutana roli ile kulikwepa kwakuwa nikamgonga bajaji na kwenda nae hadi kwenye zile bomba za barabarani zinazotenganisha barabara moja na nyingne akabamiza nakupinduka huku bajaji ikiwa haitamaniki na wale abiria wakijeruhiwa japo hakuna aliekufa.

Kwakuwa taa zilikuwa zimekwisha ruhusu hivyo gari zilikuwa zikimiminika nami nikaunga kuwahi kuvuka Tazara (Hapo ndo nikakuza tatizo) wananzengwe wakahisi nakimbia si wakaniungia. Nimekimbia nafika mchicha naona bajaji na Bodaboda kibao wameniungia nyuma ikibidi akili initume niache gari nikimbie wasijenidhuru.

Nilipo fika Karakana nikaingia njia ya juu nikapaki nikimbie kumbe Bodaboda wa pale wanaona ile movie nilisikia Bodaboda mmoja akisema kwa sauti kubwa brother Acha funguo kwa akili isio kuwa yangu nikarusha funguo bila kujua nampa nani na kwa lengo gani. Nimekimbia kama hatua kumi na tano nikasikia pikipiki zinakuja kwa kasi ila kuna moja iko mbele zaidi ilivyonikaribia akanambia brother panda watakuuwa nikapanda huku msururu wa Bodaboda zikitufukuzia. Akanipitisha njia ya juu kama unaenda Bombom kufika kwenye msikiti flan kwambele akaacha road then akaanza kuingia chocho za kiwalani mule hali ya hewa aisee apo roho akili na moyo vishasaliti mwili zimebaki nyama tu.

Yule jamaa akanizungusha vichochoroni huku milio ya pikipiki ikipungua japo kuna wachache bado wanakomaa na sisi tu kavuka kijumba flani akanishusha niingie ye akanyoosha apo ndo nikasevu.

Kwa uwezo wa Mungu kule nilikopaki gari wale Bodaboda wote walipitiliza baada yakuniona nimetoka kwenye gari nakimbia na baada ya kunikosa ndo wakawaza kurudi washambulie gari ndipo jamaa alieninyang'anya funguo akawa ashalitoa japo kuna waliomuona (wale wanaobakigi nyuma) ila wakatilia mashaka kuwa si lile gari maana aliomo ndani kuna wanaomjua (Bodaboda mwenzao).

Nilikaa pale nilipofichwa mpaka saa3 usiku najishika mfukoni simu nimeacha kwenye gari, nikavua nguo za juu nikabaki na vest na pens (ndani huwa navaa pens badala ya boxa) nikarudi pale karakana kwa machale yan nikiona mtu ananiangalia tu najua anafatilia. Sasa nafika pale nilipoacha gari sijakuta mtu wala gari nikabaki nimezubaa na mipensi yangu kama chizi .

Nikaamua kwenda home chamsingi me mzima vingine ni vyakupatikana ti( ila ilo negotiate rahisi kulitamka kuliishi kazi sana. Nikachukua bajaji hadi home nikafika jirani na napoishi nikamuomba bajaji aninunulie japo lishati lolote nitamlipia pamoja na nauli nikifika home. Nikaingia geto nikachukua pesa nikampa (na hapa ndo niliona umuhimu wa kuishi na cash japo kidogo ndani maana kadi na id zingine niliacha kwenye gari.

Usiku sikulala nilikuwa naweweseka tu. Asubuhi ndio kausingizi kakanipitia kidogo hadi saa1 kasoro ndo nakurupuka sikutana sikuswaki wala kuoga nilichokumbuka ni kunawa uso tu. Nikawahi faster karakana kweli nikakuta Bodaboda kama wa4 ivi ( ila sikuwa namkumbuka yeyote ile jana maana Sikuwa mimi na ilikuwa usiku pia.

Nikafika nakaa pembeni nawaza nianzeje mara na wao wakaanza zile story. Nikamwita mmoja pembeni nikaongea nae naye akawaita wenzeke Alhamdulillah wakakubaLi na kusema vitu vyako vyote vipo salama (nilishangaa sana mana wengeweza kunikana na nisifanye chochote kwakuwa sikuwa na ushahidi, sikuwa na namba zao za simu na hata sikuwa nimewakariri sura) mmoja akatoa funguo akanionyesha then wakawasha pikipiki wakanipeleka stend ya vingunguti tukapanda juu njia ya vumbi walikopaki gari kumbe waliingiza kiwandani kwenye viwanda vya Mo pale Kiwalani.

Nilivyofungua gari nikakuta vitu vyangu vyote vipo sawa kasoro gazeti tu ndo walichukua kubebea miogo eti.

Kiukweli kisa hiki kimenigusa sana nikaona nije share na ndugu zangu wa JF maana nilowaweka kwenye kundi la adui zangu wamekuwa zaidi ya msaada kwangu na mali zangu. Sina cha kusema kwa Bodaboda wa Karakana.
Kwahiyo bajaji uliyoigonga umeamua kuitosa sio?
 
Boda kakuchukua, waliokuwa wanakukimbiza wakamngoja mpaka aje awashe gari, wanamuangalia tu anavyoingia, wakati wanalikimbiza na wanakuona bado wanaliacha na kulisahau! Hii chai Ina kiungo cha Mlonge.

Umegonga watu, bodaboda Kwisha, then Police hawakuvuta gari kwenda kituoni ulipoliacha, wala Ngoja bodaboda aje? Aliwashe alibebe? No trace, no kituoni nothing?
kulisahau! Hii chai Ina kiungo cha Mlonge.
 
Katika pilika pilika za maisha kama kuna jambo limetokea siku zote tunapaswa kuangalia ni CHANZO CHAKE na MATOKEO YAKE. Chanzo cha mahangaiko yote haya uliyoyapata na madhila uliyoyasababisha kwa Bajaji na abiria wake na hadi Boda Boda ni WEWE, UZEMBE WAKO wa kuendesha gari bila kuzingatia sheria umesababisha matatizo kwako na kwa wengine. Laiti kama ungeendesha chombo chako kwa kuzingatia sheria za barabarani yote yasingetokea. Unapotafakari umejifunza nini kwenye hili usijikite kwa jinsi ulivyoponyoka mikononi mwa Boda boda na polisi, (Matokeo) bali jikite jinsi gani UBADILIKE (Chanzo) ili siku nyingine usisababishe ajali, majehuri na vifo kwa wengine,

Pamoja na kwamba wengi wanawalaumu BodaBoda kwa uendesahji wao, lakini kuna kundi kubwa la vijana waendesha magari hasa madogo madogo kama IST, Vitz, Sieta, Olpa, Wish, Passo ambao nao hawana tofauti na Boda Boda kama mleta mada hapa, wanaendesha kwa fujo, kwa kasi isiyo lazima wakati hana sababu zozote za kwenda mwendo wa kasi kama huo.


Kumbuka CHANZO NI WEWE TANGU MWANZO HAYA MWENGINE NI MATOKEO TU. Hivyo usihangaike na matokeo bali hangaika na chanzo.
Nimekuelewa kaka.
 
Polisi watakukamata, umejianiaka
Wakuu kuna viumbe wanaitwa Bodaboda. Nadhani wengi tunawafahamu sana. Kwa watumiaji wa barabara nadhani tunawafahamu zaidi. Namaanisha kwa kero na adha tunazokutana nazo juu yao.

Binafsi nimeathiriwa nao mara kadhaa ikiwemo kunigongea(kuvunja site mirrors zangu kadhaa)? Kugonga ndugu zangu (wapita njia) matusi, overtaking za ghafla na kupita mbele yangu kumeko nifanya mara kadhaa kudondoka mtaroni nikikwepa kuwagonga. Hayo kwa uchache yakiwepo mengine mengi yalonifanya niwe na fikra mbaya juu ya hwa viumbe na mara niwaonapo popote nakuwa makini zaidi nakuchukulia kama nimeona adui.

Juzi kati mida ya sa 12 nikiwa nimetoka job nikiwa mwendo mdogo mdogo kufika mwananchi foleni ikawa kubwa nikajongea hadi maeneo ya Matumbi nikaona si mbaya nichepuke mara moja (kupita service road) angalau nisogeesogee. Nikawa nachepuka narudi road nachepuka narudi road nilipokaribia Buguruni nikachepuka kwa speed niwahi kuvuka kabla trafki hawajaruhusu magari kutoka K/koo, nilipolikaribia daraja la juu la Buguruni nikawa naforce kurudi mainroad kumkimbia traffic officer hapo ndo nikajikuta nakutana roli ile kulikwepa kwakuwa nikamgonga bajaji na kwenda nae hadi kwenye zile bomba za barabarani zinazotenganisha barabara moja na nyingne akabamiza nakupinduka huku bajaji ikiwa haitamaniki na wale abiria wakijeruhiwa japo hakuna aliekufa.

Kwakuwa taa zilikuwa zimekwisha ruhusu hivyo gari zilikuwa zikimiminika nami nikaunga kuwahi kuvuka Tazara (Hapo ndo nikakuza tatizo) wananzengwe wakahisi nakimbia si wakaniungia. Nimekimbia nafika mchicha naona bajaji na Bodaboda kibao wameniungia nyuma ikibidi akili initume niache gari nikimbie wasijenidhuru.

Nilipo fika Karakana nikaingia njia ya juu nikapaki nikimbie kumbe Bodaboda wa pale wanaona ile movie nilisikia Bodaboda mmoja akisema kwa sauti kubwa brother Acha funguo kwa akili isio kuwa yangu nikarusha funguo bila kujua nampa nani na kwa lengo gani. Nimekimbia kama hatua kumi na tano nikasikia pikipiki zinakuja kwa kasi ila kuna moja iko mbele zaidi ilivyonikaribia akanambia brother panda watakuuwa nikapanda huku msururu wa Bodaboda zikitufukuzia. Akanipitisha njia ya juu kama unaenda Bombom kufika kwenye msikiti flan kwambele akaacha road then akaanza kuingia chocho za kiwalani mule hali ya hewa aisee apo roho akili na moyo vishasaliti mwili zimebaki nyama tu.

Yule jamaa akanizungusha vichochoroni huku milio ya pikipiki ikipungua japo kuna wachache bado wanakomaa na sisi tu kavuka kijumba flani akanishusha niingie ye akanyoosha apo ndo nikasevu.

Kwa uwezo wa Mungu kule nilikopaki gari wale Bodaboda wote walipitiliza baada yakuniona nimetoka kwenye gari nakimbia na baada ya kunikosa ndo wakawaza kurudi washambulie gari ndipo jamaa alieninyang'anya funguo akawa ashalitoa japo kuna waliomuona (wale wanaobakigi nyuma) ila wakatilia mashaka kuwa si lile gari maana aliomo ndani kuna wanaomjua (Bodaboda mwenzao).

Nilikaa pale nilipofichwa mpaka saa3 usiku najishika mfukoni simu nimeacha kwenye gari, nikavua nguo za juu nikabaki na vest na pens (ndani huwa navaa pens badala ya boxa) nikarudi pale karakana kwa machale yan nikiona mtu ananiangalia tu najua anafatilia. Sasa nafika pale nilipoacha gari sijakuta mtu wala gari nikabaki nimezubaa na mipensi yangu kama chizi .

Nikaamua kwenda home chamsingi me mzima vingine ni vyakupatikana ti( ila ilo negotiate rahisi kulitamka kuliishi kazi sana. Nikachukua bajaji hadi home nikafika jirani na napoishi nikamuomba bajaji aninunulie japo lishati lolote nitamlipia pamoja na nauli nikifika home. Nikaingia geto nikachukua pesa nikampa (na hapa ndo niliona umuhimu wa kuishi na cash japo kidogo ndani maana kadi na id zingine niliacha kwenye gari.

Usiku sikulala nilikuwa naweweseka tu. Asubuhi ndio kausingizi kakanipitia kidogo hadi saa1 kasoro ndo nakurupuka sikutana sikuswaki wala kuoga nilichokumbuka ni kunawa uso tu. Nikawahi faster karakana kweli nikakuta Bodaboda kama wa4 ivi ( ila sikuwa namkumbuka yeyote ile jana maana Sikuwa mimi na ilikuwa usiku pia.

Nikafika nakaa pembeni nawaza nianzeje mara na wao wakaanza zile story. Nikamwita mmoja pembeni nikaongea nae naye akawaita wenzeke Alhamdulillah wakakubaLi na kusema vitu vyako vyote vipo salama (nilishangaa sana mana wengeweza kunikana na nisifanye chochote kwakuwa sikuwa na ushahidi, sikuwa na namba zao za simu na hata sikuwa nimewakariri sura) mmoja akatoa funguo akanionyesha then wakawasha pikipiki wakanipeleka stend ya vingunguti tukapanda juu njia ya vumbi walikopaki gari kumbe waliingiza kiwandani kwenye viwanda vya Mo pale Kiwalani.

Nilivyofungua gari nikakuta vitu vyangu vyote vipo sawa kasoro gazeti tu ndo walichukua kubebea miogo eti.

Kiukweli kisa hiki kimenigusa sana nikaona nije share na ndugu zangu wa JF maana nilowaweka kwenye kundi la adui zangu wamekuwa zaidi ya msaada kwangu na mali zangu. Sina cha kusema kwa Bodaboda wa Karakana.
 
Maisha bhana,kuna mtu aliwahi kua adui wangu mkubwa,(pengine hata ningeangamia).MUNGU si athumani,huyohuyo ndo alikuja kunisaidia sana,hadi nikafanikiwa mambo yangu(nashukuru MUNGU),Na wala hàkunidai hata senti
 
Back
Top Bottom