Mngendalyasota
Senior Member
- Jan 22, 2011
- 171
- 48
WanaJF,
Ktk hali ya vuta ni kuvute hatimaye kambi ya Luhanjo yenye madiwani 6 (kata 6) wa tarafa ya Wanging'ombe (total population 53,000)waliokuwa wanapendekeza makao makuu ya wilaya mpya ya Wanging'ombe yawe kijijini kwa Luhanjo (Wanging'ombe) wameshindwa kwa mbinde dhidi ya madiwani 11 (kata 11) wa tarafa ya Mdandu na Imalinyi (total population 200,000+) waliokuwa wanapendekeza makao makuu yawe kijiji cha Igwachanya ambacho kipo ktkt ya wilaya hiyo mpya. Katika kikao hicho cha baraza la madiwani wilayani Njombe nusura kivunjike hasa baada ya baadhi ya madiwani kutaka kurushiana makonde kutokana na kupingana kimtizamo. Tofauti hii ilitokana na kwamba wapambe wa Luhanjo wakiongozwa na mkurugenzi wa halmashauri ndg Mohammed Mkupete walitaka kupendelea kijiji cha Wanging'ombe ambacho wengi wanasema hakikidhi kuwa makao makuu ya wilaya hasa kwa kuwa si ktkt ya wilaya hiyo mpya.
Ktk hali ya vuta ni kuvute hatimaye kambi ya Luhanjo yenye madiwani 6 (kata 6) wa tarafa ya Wanging'ombe (total population 53,000)waliokuwa wanapendekeza makao makuu ya wilaya mpya ya Wanging'ombe yawe kijijini kwa Luhanjo (Wanging'ombe) wameshindwa kwa mbinde dhidi ya madiwani 11 (kata 11) wa tarafa ya Mdandu na Imalinyi (total population 200,000+) waliokuwa wanapendekeza makao makuu yawe kijiji cha Igwachanya ambacho kipo ktkt ya wilaya hiyo mpya. Katika kikao hicho cha baraza la madiwani wilayani Njombe nusura kivunjike hasa baada ya baadhi ya madiwani kutaka kurushiana makonde kutokana na kupingana kimtizamo. Tofauti hii ilitokana na kwamba wapambe wa Luhanjo wakiongozwa na mkurugenzi wa halmashauri ndg Mohammed Mkupete walitaka kupendelea kijiji cha Wanging'ombe ambacho wengi wanasema hakikidhi kuwa makao makuu ya wilaya hasa kwa kuwa si ktkt ya wilaya hiyo mpya.