Kazi kwelikweliKupata inawezekana ila sasa kuna mlolongo flani hadi upate tena shughuli pevu!kuna kwenda polisi!kulipia tangazo kwenye gazeti! Ndiyo uende baraza sasa😒
Kazi kwelikweliKupata inawezekana ila sasa kuna mlolongo flani hadi upate tena shughuli pevu!kuna kwenda polisi!kulipia tangazo kwenye gazeti! Ndiyo uende baraza sasa😒
Waliopambana kukusomesha they must be very proud of you ...Ni jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia o level mpaka chuo tukutane mtaani guys.
Mmmh si kweli banaEmbu acha masihara chura lote lile. 🙄
Kweli ama hakika alete picha za pieces za vyeti hapa..Oya wadau mleta mada nimuongo msimuamini mpaka alete picha ya vyeti alivochana
Bila picha ni uongo.BTW namshukuru Mungu kunipa ujasiri I feel free now
WHEN IT COMES TO SUCCESS YOU SHOULD HAVE ONLY ONE PLAN.
HAPPY NEW YEAR 2021Hata life linipige siwezi tupa vyeti. Mtoa mada tumpime mkojo. Ushauri kuntu huu
Angeweza ingia mtaani na bado vyeti vikabaki.Siku akipata challenge kuvihusu,kupindua meza itamtesa Sana.Nadhani Ni chai though.Mimi siwezi vichoma Moto abadani...sawa havinipi hela..but kuvipata hela nyingi ya wazazi na serekali ilitumika..
Pia na Mimi nikiweka effort kuubwa..So vikae tu...Kwani Kuna shida gani vikikaa kabatini vikapata vumbi..
Safi sana kwa maamuzi hayo ya busara.Ni jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia o level mpaka chuo tukutane mtaani guys.
Ni kosa, vyeti ni muhimu. Leo ni fani ya udaktari na ufamasia vinahitajika vyeti ili kufanya shughuli kama hizo, eg kufungua hospitali au duka la dawa. Mbele ya safari hiyo garage ya chini ya mwembe unaweza ambiwa mpaka uwe na degree ya uhandisi mitambo, machinga au duka awe na degree ya biashara, nk nk.Mi vyangu nilichoma 2019 na sijutii mpaka Leo maisha hapa gereji
Ni murua kabisa na vodacom
Kwa division na madaraja uliyopata ni halali kuvichana aisee. Ni kama ulikuwa msindikizaji
Sikiliza na kawimbo ka Kanye west good life😁Ni jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia o level mpaka chuo tukutane mtaani guys.
Yuko tayari kufundishwa maisha ya mtaani na wamtaani wapo tayari kumpokea. Isije ikafika kipindi akavikumbuka tu na kujutia hiko kitendo anachosema kimemfanya kuwa free sasa!Aisee sawa kama unahisi ni uamuzi sahihi kwa sasa! Ila usije siku ukavikumbuka baada ya kutokea mchongo wa maana na vyeti ulishavichana. Kwani huwezi kuingia mtaani huku ukiwa umefungia kabatini hivyo vyeti?
Tukutane mitaa ip mzee, lini iyo na saa ngap??Ni jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia o level mpaka chuo tukutane mtaani guys.
Kwa kuwa ulienda JKT tunaanza kukuchungulia kama umeasi huko mtaaniNi jambo ambalo nimekuwa nalifikiria mara nyingi kuchana hivi vyeti maana vinanitia hasira sana hakuna vilichosaidia kwa miaka minne leo nimechana rasmi kuanzaia o level mpaka chuo tukutane mtaani guys.