Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Hatimaye Lazaro Nyalandu na wenzake waachiwa kwa dhamana.
Lazaro Nyalandu na wenzake wawili wameachiwa kwa dhamana ya polisi kwa masharti ya wawili wadhaminiwe na wadhamini wawili, Lazaro Nyalandu wadhamini watatu kwa sh. mi 5 kila mmoja. Wanatakiwa kuripoti Polisi Singida mjini kesho asubuhi saa 3.
Mkuu wa TAKUKURU Singida, Joshua Msuya alisema walipata taarifa za uwepo wa viashiria vya rushwa kwenye mikutano ya moja ya Vyama vya Siasa mkoani humo baada ya kufuatilia ndipo walimkuta Lazaro Nyalandu akiwa katika nyumba moja ambayo si ofisi ya CHADEMA akiendesha kikao.
Zaidi, soma;
Lazaro Nyalandu na wenzake wawili wameachiwa kwa dhamana ya polisi kwa masharti ya wawili wadhaminiwe na wadhamini wawili, Lazaro Nyalandu wadhamini watatu kwa sh. mi 5 kila mmoja. Wanatakiwa kuripoti Polisi Singida mjini kesho asubuhi saa 3.
Mkuu wa TAKUKURU Singida, Joshua Msuya alisema walipata taarifa za uwepo wa viashiria vya rushwa kwenye mikutano ya moja ya Vyama vya Siasa mkoani humo baada ya kufuatilia ndipo walimkuta Lazaro Nyalandu akiwa katika nyumba moja ambayo si ofisi ya CHADEMA akiendesha kikao.
Zaidi, soma;
Lazaro Nyalandu akamatwa na kushikiliwa na TAKUKURU mkoani Singida
Watu wasiojulikana,wakiwa na silaha wamevamia kikao cha CHADEMA kata ya Itaja jimbo la Singida Kaskazini na kuondoka na Mhe. Lazaro Nyalandu , M/kiti wa Kata ya Itaja na aliyekuwa mgombea ubunge wa CHADEMA jimbo la Singida Kaskazini, David Jumbe mpaka sasa hatujui wamepelekwa wapi. -----...
www.jamiiforums.com