Unaingiza nini kwa huo utopolo bwana Don,ni afadhali uimbe nyimbo za kisukuma kama kina Bahati Budagara;halafu unaishije mjini mkubwa bila check namba ama ndio unaendana na lile andiko la mwanadamu hataishi kwa mshahara peke yake bali kwa kila senti idondokayo mbele yakeKijinga Tena?