Hatimaye Kolabo yangu na Wanamuziki wa kike wa MAREKANI Kama video queens imekamilika. Kazi ni mpya kabisa

Kijinga Tena?
Unaingiza nini kwa huo utopolo bwana Don,ni afadhali uimbe nyimbo za kisukuma kama kina Bahati Budagara;halafu unaishije mjini mkubwa bila check namba ama ndio unaendana na lile andiko la mwanadamu hataishi kwa mshahara peke yake bali kwa kila senti idondokayo mbele yake
 
Hongera mkuu. Chupa la kwenda hili.

Jaribu kuipeleka na BASATA

Screenshot_20210630-232648.jpg
 
That harmonic melody is faaar better than Baba Levo whole career.Hasa unapoimba cheki choda/soda😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom