Hatimaye kitabu cha kumuelewa mwanamke kwa undani chapatikana, Wahi nakala yako...

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
5346112_img3490756339934_jpeg_jpeg19a4265515975f569c870fb27c01e565
 
mbwa ukishamjua jina hakusumbui tena, yanini kuanza kuunguza callories zangu kwa kukariri manual kubwa kiasi hicho na maisha yenyewe mafupi haya!? Ger ara hia men
 
mbwa ukishamjua jina hakusumbui tena, yanini kuanza kuunguza callories zangu kwa kukariri manual kubwa kiasi hicho na maisha yenyewe mafupi haya!? Ger ara hia men
5345533_0300193b_jpegfaadd205ab82de72e0a4a370f93cc6bf

Naunga mkonyo hoja.
Unaweza kukuta Chapter ya Umbea tu page 1000. :D:D:D
 
Ukhuty,hivi kwa nini wewe hua huchangii mada? Zaidi unaandika
napita
nitarudi
emoj emoj tu
subiri wanakuja
sawa.
Kwa nini ndugu?
 
Hivi viumbe hamtawaelewa kamwe, wakati we unadhan shida yao hela, utafika shida yao ni mapenzi, mkifika hapo utakuta anataka pesa, mkifika hapo washabadilika wanataka sasa uwajali. Mkifika hapo atakuambia anataka uwahi nyumbani jioni ukiwahi atakuambia mmh mwanaume unawahi km kuku jioni hata hatupumui bana..... Wanaume mmeshapewa ridhaa ya kuwatawala viumbe hawa na mwenyez mungu. Hivo hakikisha unasimama kiume haujaolewa bali ulioa unaendesha uonavyo usiendeshwe km bendera
 
Sasa na huu uzee wangu miaka 55 nitamaliza lini kukisoma hiki kitabu wapewe watoto wa darasa la kwanza kuja wazeeke watakuwa wamewaelewa wanawake
 
Back
Top Bottom