April
Member
- Nov 14, 2011
- 35
- 21
Baada ya kuwa na mgogoro uliodumu zaidi ya mwaka mmoja, hatimaye Mh. Kafulila na Mwenyekiti wake Mh. James Mbatia wahutubia jukwaa moja kata ya Bashneti huko Babati kwenye Uchaguzi mdogo wa Madiwani.
Mkutano huo uliokuwa mkubwa sana kuwa kivutio kwa wengi, waheshimiwa hawa ilikuwa mara ya kwanza kwao kusimama jukwaa moja tangu mgogoro wa chama hicho mwishoni mwa mwaka 2011 uliopelekea wafikishane mahakamani. Ushirikiano huo waliouonyesha unatufundisha kwamba, viongozi wafike mahali watangulize maslahi ya wananchi wa Taifa wanaloliongoza kabla ya maslahi yao wenyewe, hii migongano ya kimtizamo isiwe vikwazo kwa viongozi kushirikiana panapo maslahi ya wananchi.
Big up Kafulila na Mwenyekiti!!
Mkutano huo uliokuwa mkubwa sana kuwa kivutio kwa wengi, waheshimiwa hawa ilikuwa mara ya kwanza kwao kusimama jukwaa moja tangu mgogoro wa chama hicho mwishoni mwa mwaka 2011 uliopelekea wafikishane mahakamani. Ushirikiano huo waliouonyesha unatufundisha kwamba, viongozi wafike mahali watangulize maslahi ya wananchi wa Taifa wanaloliongoza kabla ya maslahi yao wenyewe, hii migongano ya kimtizamo isiwe vikwazo kwa viongozi kushirikiana panapo maslahi ya wananchi.
Big up Kafulila na Mwenyekiti!!