As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,526
Mkuu hao watu lazima wataleta madhara makubwa kuliko faida nakumbuka mwaka 2013 nilikuwa Mtwara ikatokea vurugu za gesi ikabidi Serikali ilete wanajeshi waikalie Mtwara kijeshi mkuu wamakonde wote walinyooka sitokuja kusahau
Siku moja wakati tupo soko kuu tuliletewa JWTZ wakiwa na Vifaru vya Kivita dhidi ya wananchi ambao hata panga hawana!!!
Siku moja wakati tupo soko kuu tuliletewa JWTZ wakiwa na Vifaru vya Kivita dhidi ya wananchi ambao hata panga hawana!!!