Hatimaye JWTZ yaingia Kibiti, Ikwiriri na Mkuranga kudhibiti na kutafuta wauaji wa Polisi na RAIA

Hatimaye Serikali imepeleka kikosi cha JWTZ huko Pwani kudhibiti mauaji na kutafuta wauaji.

Kikosi hicho cha JWTZ kina wana jeshi wenye uzoefu mkubwa wa kivita na makomandoo kiasi.

Lengo kuu ni kuleta amani mkoa wa Pwani ktk maeneo hayo ambayo usalama wake umekuwa wa mashaka.


Hii taarifa inaweza kwa namna moja au nyingine isifanikishe kupatikana kwa wahusika kutokana na ukweli kwamba hao watu ni very strategic na wanakusanya taarifa na kuzifanyia kazi kutoka kwenye social media/networks kila wakati
 
nadhani hawa jamaa walitaka JWTZ waingie rasmi pale kibiti ili wao wapanue wigo wao wa kufanya maauji eneo lingine ndani ya tz.

na kama hili litakuwa na ukweli,basi lengo lao litakuwa limetimia.kwa maana hiyo,tujiandae kushuhudia mauaji ya aina hiyo yakiendelea kutokea sehemu mbalimbali nchini.sio kibiti peke yake.
 
Hapo wanajeshi hawata add any value hapo police kinachotakiwa ni intelegensia kidogo sana alafu alafu unabadili OC CID na RCO tena kuna ambao najua wakipelekwa pale wanamaliza tatizo kumbukeni Arusha tulikuwa na matatizo kama hayo kipindi cha nyuma ila sasa no historia tunaishii mubashara


True
 
Kwani huo usiku JWTZ wao watalala! hapo ndo watatumia ile ya 6 weeks ya bila kulala wakiwa JKT. Mbona wataelewa tu.

Kwa hiyo wewe unaona JWTZ ni kama jkt! Nali alikuambia JKT hawalali wiki 6?

Hata kunyamaza ni hekima.
 
Wauwaji pengine wamepumzika zao Masaki huko.....

Wasijikite tu upande mmoja waimarishe ulinzi na hapa dar wanaweza kuhamia huku hao wauwaji...
 
ni heri jwtz kutumika kulinda usalama huko rufiji,kilwa na kibiti kama wanavyofanya kule drc congo na sudani....

ingawa mapambano ni magumu kwa kutowatambua hao magaidi.... ambao utumia silaha za moto dhidi ya raia asiyebeba ht kisu.
 
nadhani hawa jamaa walitaka JWTZ waingie rasmi pale kibiti.na kama hili nitakuwa kweli,basi lengo lao litakuwa limetimia.

kwa maana hiyo,tujiandae kushuhudia mauaji ya aina hiyo yakiendekea kutokea sehemu mbalimbali nchini.sio kibiti peke yake.
Umeongea point mkuu hasa hasa maeneo jirani kama dar ulinzi uimarishwe....
 
Back
Top Bottom