Hatimaye imejulikana: Dereva wa Lissu yuko Ubelgiji, akahojiwe

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,192
25,493
Mbunge Tundu A.M.Lissu amesema kuwa dereva wake waliyekuwa wrote siku ya shambulio dhidi yake Septemba 7 mwaka 2017 huko nchini Ubelgiji.

Lissu ameyasema hayo jana alipokuwa akihojiwa na Mwandishi Mwamoyo Hamza wa Sauti ya Amerika almaarufu VoA. Studioni alikuwepo pia Balozi wa Tanzania nchini Marekani Ndugu Wilson Masilingi.

Kauli ya Lissu juu ya alipo dereva wake inamaliza fununu na ramli kuhusu alipo dereva huyo. Kwakuwa imeshajulikana alipo,ni muda muafaka kwa wahusika kusuka utaratibu wa kwenda kumhoji dereva Hugo na Lissu mwenyewe atakayekuwapo Ubelgiji tarehe 20 mwezi huu.
 
Mbunge Tundu A.M.Lissu amesema kuwa dereva wake waliyekuwa wrote siku ya shambulio dhidi yake Septemba 7 mwaka 2017 huko nchini Ubelgiji.

Lissu ameyasema hayo jana alipokuwa akihojiwa na Mwandishi Mwamoyo Hamza wa Sauti ya Amerika almaarufu VoA. Studioni alikuwepo pia Balozi wa Tanzania nchini Marekani Ndugu Wilson Masilingi.

Kauli ya Lissu juu ya alipo dereva wake inamaliza fununu na ramli kihusu alipo dereva huyo. Kwakuwa imeshajulikana alipo,ni muda muafaka kwa wahusika kusuka utaratibu wa kwenda kumhoji dereva Hugo na Lissu mwenyewe atakayekuwapo Ubelgiji tarehe 20 mwezi huu.
Kwani Dereva wa Lissu nani kakwambia hajulikani alipo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge Tundu A.M.Lissu amesema kuwa dereva wake waliyekuwa wrote siku ya shambulio dhidi yake Septemba 7 mwaka 2017 huko nchini Ubelgiji.

Lissu ameyasema hayo jana alipokuwa akihojiwa na Mwandishi Mwamoyo Hamza wa Sauti ya Amerika almaarufu VoA. Studioni alikuwepo pia Balozi wa Tanzania nchini Marekani Ndugu Wilson Masilingi.

Kauli ya Lissu juu ya alipo dereva wake inamaliza fununu na ramli kihusu alipo dereva huyo. Kwakuwa imeshajulikana alipo,ni muda muafaka kwa wahusika kusuka utaratibu wa kwenda kumhoji dereva Hugo na Lissu mwenyewe atakayekuwapo Ubelgiji tarehe 20 mwezi huu.
Petro, mbona Lisu alisema time and again kuwa dreva wake yuko Belgium na alisafiri kwa visa ya Belgium! Alilisema zamani sana hilo!
 
Meta mada unaandika ujinga na Lisu wako Kwa mini polisi watumie raslimali za nchi na pesa za walipa Kodi kumfuata ubelgiji Kwa mini huyo dereva na Lusu wake wasije Tanzania kutoa ushahidi? Hizo pesa Lisu azozurura nazo si zinatosha naulizia ya kumleta yeye na dereva wake kuja kutoa ushahidi Tanzania? Wao sio wahalifu kwenye hiyo kesi ya Lisu kupigwa risasi ni mashahidi wangekuwa wahalifu hapo polisi ingekuwa sawa kutumia mipesa ya nchi kwenda huko ulaya au kutumia ma interpol nk kuwadaka na kuwaleta nchini Kwa nguvu Kwa gharama za walipa Kodi.Wao ndio waje Tanzania sio polisi wa Tanzania waende.Polisi walishatoa taarifa mapema wakimtaka dereva aripoti polisi hakufanya hiyo Afanye hivyo aripoti polisi Tanzania
 
Mbunge Tundu A.M.Lissu amesema kuwa dereva wake waliyekuwa wrote siku ya shambulio dhidi yake Septemba 7 mwaka 2017 huko nchini Ubelgiji.

Lissu ameyasema hayo jana alipokuwa akihojiwa na Mwandishi Mwamoyo Hamza wa Sauti ya Amerika almaarufu VoA. Studioni alikuwepo pia Balozi wa Tanzania nchini Marekani Ndugu Wilson Masilingi.

Kauli ya Lissu juu ya alipo dereva wake inamaliza fununu na ramli kihusu alipo dereva huyo. Kwakuwa imeshajulikana alipo,ni muda muafaka kwa wahusika kusuka utaratibu wa kwenda kumhoji dereva Hugo na Lissu mwenyewe atakayekuwapo Ubelgiji tarehe 20 mwezi huu.
Yaani wewe ndio unawapangia polisi cha kufanya?!!......huyo dereva anatakiwa akaripoti Central police station kwa mahojiano fullstop!
 
Meta mada unaandika ujinga na Lisu wako Kwa mini polisi watumie raslimali za nchi na pesa za walipa Kodi kumfuata ubelgiji Kwa mini huyo dereva na Lusu wake wasije Tanzania kutoa ushahidi? Hizo pesa Lisu azozurura nazo si zinatosha naulizia ya kumleta yeye na dereva wake kuja kutoa ushahidi Tanzania? Wao sio wahalifu kwenye hiyo kesi ya Lisu kupigwa risasi ni mashahidi wangekuwa wahalifu hapo polisi ingekuwa sawa kutumia mipesa ya nchi kwenda huko ulaya au kutumia ma interpol nk kuwadaka na kuwaleta nchini Kwa nguvu Kwa gharama za walipa Kodi.Wao ndio waje Tanzania sio polisi wa Tanzania waende.Polisi walishatoa taarifa mapema wakimtaka dereva aripoti polisi hakufanya hiyo Afanye hivyo aripoti polisi Tanzania
vipi kuhusu camera nani alitoa, walnzi wamehojiwa!? na maids je!? unateseka sana kumuona TAL akiwa hai, dhuluma haitwaacha salama.
 
Back
Top Bottom