MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,826
- 5,451
Uko sahihi kabisa mkuu.Waliomficha dereva sio WAPUMBAVU hata kidogo. Ukiangalia nguvu kubwa inayotumika kumkingia kifua dereva ni kubwa mno hadi unajiuliza kuna nini?Its taking too long
Hii inaipa nguvu conspirancy ya kuwa anafichwa.
1) Anaweza kuwa anafichwa ili asifichue kuwa tukio lilipangwa na CDM wenyewe for political reasons
2)Anaweza kuwa anafichwa ili asije nunuliwa na maadui wa Lissu ili asije tumika against yeye.
But huwez sema anatibiwa, anatibiwa nini,muda wote? Semeni anafichwa kwa nin?
Sent using Jamii Forums mobile app
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.