The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,387
- 12,971
nimetumiwa clip yake jana ..alipokuwa anahojiwa na mtangazaji wa star tv..alisema akifukuzwa haendi chama chochote ila ataanzisha chama kipya
Kama ameshachoka siasa aanzishe chama chake!!!
nimetumiwa clip yake jana ..alipokuwa anahojiwa na mtangazaji wa star tv..alisema akifukuzwa haendi chama chochote ila ataanzisha chama kipya
mkuu sasa unatafuta ugomvi na watu flani hivi.subiri waje.mi simo.:A S embarassed:Amekuwa mswahilina sana siku hizi, haishi msikitini
Hapo ndipo ninapomkubali Dr. Lyatonga Mrema yeye aliishia kumvua cheo Tao badala ya kumvua uanachama
HAHHAHAH. WALIMDANGANYA cHADEMA ETI ATUMIE VYOMBO VYA HABARI VITAMUOKOA. UKIWAFUATA CHADEMA UJUE UTAPOTEA TUTE
Nikiwa ktk viwanja vya Marson Hotel hapa Shangani nashuhudia taarifa rasmi ya kufukuzwa kwa viongozi waandamizi 4 wa CUF!
HR kwishney!!
UPDATE: Habari hizi zimethibitishwa
SOURCE ITV, hatimaye jamaa wamemchomoa kwenye chama cha CCM B.
what? i knew this was to be the end of this movie, CCM OYEEEEEEEEEEE, KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, Mpaka sasa CCM mbili upinzani hawana kitu, Gemu linaendelea.
asije CDM nako atafukuzwa maana alishaonesha mfano mbaya alipokuwa anataka kuongoza kambi ya upinzani bungeni aende kwa magamba