kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,890
Ni dhahiri sasa halotel wameshaelemewa, washazidiwa rasmi mtandao umekua mzito yaani speed ya kobe tu
Nipo location ambayo halotel inakamata kisawa sawa kitu inasoma 4g lakin voice note ya kb 102 hapo watsaap inaload kwa dk 10 huu si upuuzi sasa?
Piga ua voda watabaki juu mawinguni mimi hadi sasa nashindwaga kujua mitambo ya voda inakuaga na nini ambacho wengine hawana yaani 4g ya halotel ni sawa na 3g kwa voda
Nipo location ambayo halotel inakamata kisawa sawa kitu inasoma 4g lakin voice note ya kb 102 hapo watsaap inaload kwa dk 10 huu si upuuzi sasa?
Piga ua voda watabaki juu mawinguni mimi hadi sasa nashindwaga kujua mitambo ya voda inakuaga na nini ambacho wengine hawana yaani 4g ya halotel ni sawa na 3g kwa voda