luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Mtalaam izo radio una search vp maana mi nazipata chacheBaada ya kilio cha muda mrefu, hatimaye DSTV wameamua kuweka Radio za Tanzania kwenye king'amuzi chao ambapo kwasasa wameanza na Magic FM namba 895, Radio One namba 895 na Wasafi FM namba 1025 kama zinavyoonekana pichani!
View attachment 1644564