2day
Senior Member
- Mar 2, 2017
- 166
- 127
Mbona tozo ipo longtimeNgoja mwigulu aipate,
Atakuja na tozo ya ving'amuz
Mbona tozo ipo longtimeNgoja mwigulu aipate,
Atakuja na tozo ya ving'amuz
Atakuwa kafukuzwa na Talliban...wazee wa kazi!!Umeingia nchini Leo kutoka Afghanistan?
DaaahNgoja mwigulu aipate,
Atakuja na tozo ya ving'amuz
Wanataka mjae halafu utasikilizia inavyopanda utaenda kutegesha mfuniko wa feni na tubelightKumekucha Dstv naona wameshusha vifurushi sasa ni 9000 tu kwa mwezi
Kifurushi hicho kinajulikana kama dstv poa kikiwa na channel zaidi ya 40
Wakati huo huo Azam wana cha 8000 channel zaidi ya 50
My take: Mwisho wa Startimes unakuja hakika wenzao wanashusha wao wanakimbilia hadi kifurushi cha chini 22000 huko.....
Nani alikwambia kuwa meko ndiye aliyekataza?maendeleo ndio yamefanya iwe hivyo, na sio rahisi, kwani , startimes,na azam, ndio wataenda mahakamani kushitaki.Warudishe local channels aliyekataza alishakufa
Mbona awakutoa tbcNani alikwambia kuwa meko ndiye aliyekataza?maendeleo ndio yamefanya iwe hivyo, na sio rahisi, kwani , startimes,na azam, ndio wataenda mahakamani kushitaki.
Tangu waitoe Plus tv..naona wanazidi kunipoteza..Dstv kwa rangi hakuna wa kushindana nae ukiondoa vipindi vya michezo vingine vingi ni ujanja ujanja sio kwa bei hizo wanazochaji ni ghari kwa Channel za kawaida tuu...
Kwaiyo cha elf 9 ndo wameweka hapo picha mtu anatucheka kizembe
Kwaiyo cha elf 9 ndo wameweka hapo picha mtu anatucheka kizembe
Tbc ni kituo cha taifa, hivyo kila mtoa huduma analazimika kuonyesha.Mbona awakutoa tbc
Mkuu acha promo unaposema vifurushi vilivyoshushwa bei sema vifurushi vilivyopandishwa bei huo ndio uandishi linganifu.Kumekucha Dstv naona wameshusha vifurushi sasa ni 9000 tu kwa mwezi
Kifurushi hicho kinajulikana kama dstv poa kikiwa na channel zaidi ya 40
Wakati huo huo Azam wana cha 8000 channel zaidi ya 50
My take: Mwisho wa Startimes unakuja hakika wenzao wanashusha wao wanakimbilia hadi kifurushi cha chini 22000 huko.....