Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,542
- 3,451
Leo nimefarijika sana kuona Udsm by laws ikiradidi maelekezo kutoka kwenye nyaraka mbalimbali za watumishi wa Umma kuwa kuanzia sasa ni muhimu kuzingatia maelekezo ya nyaraka za mavazi.
Inawezekana Kiongozi ninaamini hivyo.Aisee.. Wataweza kweli!?
Mini and tops...!What is the funny part if being a student if you can’t wear a pair of jeans .
🤣😂😂Mini and tops...!
It won't be possible.
Kuanzia kesho nitafanya observationWhat is the funny part if being a student if you can’t wear a pair of jeans .
Subiri wanyooshwe kwanza wazoee sheria.Huu ni ulimbukeni, waache vijana wale maisha, wakati nyinyi mnasoma nani aliwaekea hizo sheria za kipuuzi? mwanafunzi anatakiwa awe comfortable awe huru, subirini wakienda huko makazini watavaa mnavyotaka.
Tukawanyoshe wala rushwa na mafisadi siyo hao watoto wa shuleSubiri wanyooshwe kwanza wazoee sheria.
Kwa mujibu wa tangazo, inaonekana dressing code inawahusu wafanyakazi tu, lkn wakifanya hivyo kwa wanafunzi itakuwa sio mbaya. Utafurahia kunuona binti au kijana wako wa kiume anakuvalia hivyo nyumbani kwako?Huu ni ulimbukeni, waache vijana wale maisha, wakati nyinyi mnasoma nani aliwaekea hizo sheria za kipuuzi? mwanafunzi anatakiwa awe comfortable awe huru, subirini wakienda huko makazini watavaa mnavyotaka.
Badilisha MkuuBiashara yangu ya nguo na viatu pale Mlimani City itakufa siku si nyingi.
Walichelewa sana UDSM.Leo nimefarijika sana kuona Udsm by laws ikiradidi maelekezo kutoka kwenye nyaraka mbalimbali za watumishi wa Umma kuwa kuanzia sasa ni muhimu kuzingatia maelekezo ya nyaraka za mavazi.
View attachment 1249955
Mkuu kabla ya kuja wazungu babu zako na bibi zako waliikua wanavaa nini? vibwaya ambavyo vilikua vinaonesha makalio, matiti na nyeti zao nyingine, leo hii mnajifanya kuficha hizo nyeti zenu kwaajili ya nini? waache vijana wale maisha, wakikua wataacha.Kwa mujibu wa tangazo, inaonekana dressing code inawahusu wafanyakazi tu, lkn wakifanya hivyo kwa wanafunzi itakuwa sio mbaya. Utafurahia kunuona binti au kijana wako wa kiume anakuvalia hivyo nyumbani kwako?
Vv
What is the funny part if being a student if you can’t wear a pair of jeans .