Ule utetezi wa Chadema bungeni kwenye bunge la bajeti umekubalika. Serikali imeondoa kodi zote kwenye vifaa vya ujenzi (polisi) ili askari wa kada zote waweze kujenga nyumba na kuacha kuishi katika full sute za mabati au zilizotengwa kwa pazia. TRA leo walikuwa hapa CCP Moshi kuwaeleza askari wanaoingia mitaani kuwa wameula na hawana sababu ya kuigomea serikali yao sikivu. Tunamshukuru Mh. Godbless Lema kwa utetezi wake.