$6000 is too much kwa hicho kipikipiki. hapo cha juu kinaweza kuwa zaidi ya mara tatu ya bei halali.mmh!dola 6000 kwa hicho kipikipiki kimoja,nanusa harufu ya ufisadi au ndo mambo ya zabuni??bajaji 400 si zinaishia mbagala tu,kuna wanawake wangapi wanapata ujauzito..wao wanatembelea mavx
Haziwezi kuwa 4WD kwa sababu zina matairi matatu. most likely zitakuwa 2WD, na hatujui pengine zikawa zinatumia mnyororo kati ya hayo matairi ya nyuma. hazina nafasi ya kutosha kwa muhudumu na zitakabiliwa na hivyo vikwazo ulivyovisema hapo juu pengine na zaidi. nadhani hazitamudu, anyway acha wa-test tuone matokeo yake.ni 4WD? Au zitafanya kazi kiangazi tu tena sehem zisizo na vumbi/mchanga mwingi.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpe. Tanzania si mara ya kwanza hizi pikipiki kutumika kama alternative ambulances. Kuna special coverage niliona CNN jinsi zilivvyoweza kupunguza vifo vya kina mama wajawazito Southern Sudan.
Read more about them here from an old UK guardian article Could motorbikes cut deaths in childbirth in Africa? | Katine | guardian.co.uk
Balance yake ikoje? Mgonjwa anakingwaje wakati wa hali ya mvua? Ajali za pikipiki zimeongezeka sana nchini, waendeshaji wa pikipiki hizi wamepata mafunzo gani?
hizo bajaji tuliambiwa kila moja ilinunuliwa $8,500 sasa bei yako imetoka wapi
tuma picha hapa tujadili kwani tulioziona hizo bajaji katika wailaya nyingi wameshindwa kuzitumia na wamezitelekeza hazina mwenyewe. kwanini rushwa imekupofusha na kuleta ushabiki badla ya kusema kweli
Mbona zimekwisha sambazwa mawilayani lakini hadi leo wilaya nyingi wameshindwa kuzitumia kutokana na muundo wake na jinsi ya kuzitumia kwani zitampa wakati mgumu sana mwendeshaji ambaye nadhani ni mganga wa kituo cha kutolea huduma.
Mleta mada kajichanganya, bei ni US $ 8,500 kila moja, siyo hiyo bei anayotuambia mtoa mada. Rejea item 28 katika thread zza awali za JF: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/221725-ufisadi-wa-blandina-nyoni-huu-hapa.html,
Mpango wa Serikali iliyouanzisha wa ununuzi wa Pikipiki za kubebea wagonjwa ili kuzuia vifo vya wakinamama na watoto katika maeneo ya vijijini. Serikali inakusdia kununua Pikipiki 400 ambazo zitasambazwa maeneo mbalimbali hapa nchini.
Pikipiki maalum iliyotengezwa na Kampuni ya E Ranger ya Afrika Kusini kwa ajili ya shughuli za kubebea wagonjwa ili kudhibiti vifo vya mama na watoto. Pikipiki hizo kila moja imegharimu Dola za Kimarekani 5,900.
Sio Bajaji ni pikipiki zilizoundwa katika muundo wa kubuni baada ya jamaa kuota ndoto, Tafakali ndugu matumizi yake Barabara za vijijini ni nyembamba kuna visiki, Nyoka, baadhi kuna wanyama wakali je mama mjamzito atafika salama? Je na muundo wa pikipiki hizo ni rafiki kwa mtumiaji?Si vibaya kwa serikali kutekeleza ahadi zake ilizoahidi kwa wananchi. Badilisha heading hapo juu, ni kodi za watanzania siyo hela za ccm.
Huo ni ufisadi wa hali ya juu sana kwa bajaji kugharimu Tsh.9,440,000, wakati bei ya halali ya bajaji ni kati ya Tsh.3,600,000 mpaka Tsh. 4,000,000
Vyote ni tatizo Bei pia matumizi yake ni magumu kwa hiyo kwa kauli halisi hazitaweza kutumika kutokana na muundo wake ambao sijawahi ona duniani na kama zikifanikiwa kutumika tutaziingiza kwenye maajabu saba ya dunianitatizo ni bei walionunulia. wangeweza kupata better deal than that.
Anyway wanasemaga mali ya umma hailiwi bila mradi, hicho ndicho walichokifanya hapo. Cha juu kikuuubwa.
Mpango wa Serikali iliyouanzisha wa ununuzi wa Pikipiki za kubebea wagonjwa ili kuzuia vifo vya wakinamama na watoto katika maeneo ya vijijini. Serikali inakusdia kununua Pikipiki 400 ambazo zitasambazwa maeneo mbalimbali hapa nchini.
Pikipiki maalum iliyotengezwa na Kampuni ya E Ranger ya Afrika Kusini kwa ajili ya shughuli za kubebea wagonjwa ili kudhibiti vifo vya mama na watoto. Pikipiki hizo kila moja imegharimu Dola za Kimarekani 5,900.
Si vibaya kwa serikali kutekeleza ahadi zake ilizoahidi kwa wananchi. Badilisha heading hapo juu, ni kodi za watanzania siyo hela za ccm.
Huo ni ufisadi wa hali ya juu sana kwa bajaji kugharimu Tsh.9,440,000, wakati bei ya halali ya bajaji ni kati ya Tsh.3,600,000 mpaka Tsh. 4,000,000