freddielly
Member
- Apr 9, 2010
- 36
- 2
mmmh? kuna usalama hapa? sasa si unaweza kumuua mgonjwa kabisa hapa kabla hajafika hospitali? ivi wat about remote areas zinafika kweli? kuna takwimu/reviews zozote juu ya pikipiki hizi mahali zilipotumika na ubora wake? naona ka janja ya watu hapa, pikipiki 400 vs mil 90 mkopo wa wabunge....