Uchaguzi 2020 Hatimaye CCM yajifuta rasmi Mtwara na Lindi

I
Kufuatia kushindwa kwa Serikali ya CCM kushikwa na kigugumizi cha kuwaamuru wanunuzi woote wa korosho kutekeleza utaratibu wa kusafirisha korosho msimu huu wa 2020/2021.

Kabla ya kuingia kwa awamu ya tano madarakani, serikali zilizopita zilikuwa na utaratibu wa kuhakikisha kuwa korosho inayozalishwa mkoa wa Mtwara na Lindi zinasafirishwa nje kwa kupitia bandari ya Mtwara.

Hii iliwasaidia wakazi wa Mtwara hasa wachukuzi, kina mama nitilie, wenye ma hotel, Guest house, ma baa, maduka, bodaboda, tax, wenye maghala, wenye majumba kujipatia kipato kutokana na kuwapangisha wanunuzi bidhaa zao.

Leo hii Serikali ya CCM inawaacha wana mtwara na njaaa huku wakiona mazao yao yakipita kwenda bandari ya Dsm.

Wana Mtwara na Lindi hiki ni kipindi chetu kuionyesha CCM kuwa wamechoshea na maonevu ya CCM kwa kuikataa kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
Inafutika lindi na mtwara inaenda ibuka arusha, mbeya na Kilimanjaro!
 
Kufuatia kushindwa kwa Serikali ya CCM kushikwa na kigugumizi cha kuwaamuru wanunuzi woote wa korosho kutekeleza utaratibu wa kusafirisha korosho msimu huu wa 2020/2021.

Kabla ya kuingia kwa awamu ya tano madarakani, serikali zilizopita zilikuwa na utaratibu wa kuhakikisha kuwa korosho inayozalishwa mkoa wa Mtwara na Lindi zinasafirishwa nje kwa kupitia bandari ya Mtwara.

Hii iliwasaidia wakazi wa Mtwara hasa wachukuzi, kina mama nitilie, wenye ma hotel, Guest house, ma baa, maduka, bodaboda, tax, wenye maghala, wenye majumba kujipatia kipato kutokana na kuwapangisha wanunuzi bidhaa zao.

Leo hii Serikali ya CCM inawaacha wana mtwara na njaaa huku wakiona mazao yao yakipita kwenda bandari ya Dsm.

Wana Mtwara na Lindi hiki ni kipindi chetu kuionyesha CCM kuwa wamechoshea na maonevu ya CCM kwa kuikataa kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
Sasa Mtwara na Lindi wakiikataa CCM na mikoa mingine you're ikaikubali CCM je hali itakuwaje huko kusini?
 
Yani hoja ya kilofa kabisa, iliyosheheni uongo, unafiki, uzandiki na uchonganishi ndani yake. Nani aliyekudanganya CCM imejifuta Mtwara na Lindi? Hivi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatokea Dsm au Kenya? Tuanzie hapa.
Unaifahamu Lindi?!

FYI, hata huyo Kassim Majaliwa mwaka 2015 aliweza kurudi bungeni baada ya Membe kwenda kupiga collabo manake Majaliwa alikataliwa kabisa!

Jirani na Jimbo la Ruagwa ni Mchinga ambako CCM walipigwa chini!!

Liwale CCM walipigwa chini!

Majimbo ya Kilwa CCM walipigwa chini!

Lindi Mjini CCM walitokea dirishani kiasi kwamba hata udiwani, walizidi kwa kiti kimoja tu!

Sasa kama unadhani Majaliwa kutokea Lindi ndo hoja basi unaonesha wazi wala huzijui siasa za Tanzania, na mikoa ya kusini!! Na kwa taarifa yako tu, pale Mchinga ambako CCM walipigwa chini, aliwekwa Said Mtanda ambae ni kijana wa JK!!

Na hayo yalitokea wakati mwana-Lindi mwingine, yaani Membe akiwa bado CCM!!
 
Unaifahamu Lindi?!

FYI, hata huyo Kassim Majaliwa mwaka 2015 aliweza kurudi bungeni baada ya Membe kwenda kupiga collabo manake Majaliwa alikataliwa kabisa!

Jirani na Jimbo la Ruagwa ni Mchinga ambako CCM walipigwa chini!!

Liwale CCM walipigwa chini!

Majimbo ya Kilwa CCM walipigwa chini!

Lindi Mjini CCM walitokea dirishani kiasi kwamba hata udiwani, walizidi kwa kiti kimoja tu!

Sasa kama unadhani Majaliwa kutokea Lindi ndo hoja basi unaonesha wazi wala huzijui siasa za Tanzania, na mikoa ya kusini!! Na kwa taarifa yako tu, pale Mchinga ambako CCM walipigwa chini, aliwekwa Said Mtanda ambae ni kijana wa JK!!

Na hayo yalitokea wakati mwana-Lindi mwingine, yaani Membe akiwa bado CCM!!
Hongera sana kwa kufafanua hoja husika. Hao wengine kazi yao ni kupinga bila kuwa na hoja.

Wana Lindi na Mtwara wana jambo lao kwa maslahi ya watoto wao na wajukuu zao wa baadae
 
Mtoa mada kama una zungumza kuusu kusini za mtandaoni yeah upo sahihi sana lakini kama unazungumzia uhalisia pole Sana

Ni ngumu Sana kutoa tathimin ya kuangalia watu mfano mimi sija wahi enda kwenye mkutano wa siasa wa chama chochote ila kula nitapiga na najua Nani na mpigia

Sasa basi Inawezekana wengi wala enda ila wa chache tuu wata piga au ndio wenyewe Wana sifa za kupiga kula

Zingatia

Kuna wapambe na mashabiki alafu Kuna wa piga kula Hawa ndio Wana amua mchezo
Jiandaeni kisaikolojia na wakati wenu ni sasa maana safari yenu ya kuwaachia watanzania nchi yao ikiwa salama kwenye mikono salama ya mh Lissu ndiyo imewadia.
 
Unaifahamu Lindi?!

FYI, hata huyo Kassim Majaliwa mwaka 2015 aliweza kurudi bungeni baada ya Membe kwenda kupiga collabo manake Majaliwa alikataliwa kabisa!

Jirani na Jimbo la Ruagwa ni Mchinga ambako CCM walipigwa chini!!

Liwale CCM walipigwa chini!

Majimbo ya Kilwa CCM walipigwa chini!

Lindi Mjini CCM walitokea dirishani kiasi kwamba hata udiwani, walizidi kwa kiti kimoja tu!

Sasa kama unadhani Majaliwa kutokea Lindi ndo hoja basi unaonesha wazi wala huzijui siasa za Tanzania, na mikoa ya kusini!! Na kwa taarifa yako tu, pale Mchinga ambako CCM walipigwa chini, aliwekwa Said Mtanda ambae ni kijana wa JK!!

Na hayo yalitokea wakati mwana-Lindi mwingine, yaani Membe akiwa bado CCM!!
Umeandika ushudu tu, je umeelewa hoja niliyoijibu mimi? Halafu inabidi ufahamu mtu anakosea njia mara moja tu, ukienda ukirudi ushaijua njia, fahamu hii siasa ni hesabu sasa wewe endelea kukaririshwa na Aunt Li utegemee mambo ndo yatakuwa vilevile.
 
Tulia hivyo hivyo dawa ikuingie taratibu, ukitikisika sindano itakuumiza
Endelea kuuma meno ili upate kupona
tapatalk_1549972891359.jpg
 
Umeandika ushudu tu, je umeelewa hoja niliyoijibu mimi? Halafu inabidi ufahamu mtu anakosea njia mara moja tu, ukienda ukirudi ushaijua njia, fahamu hii siasa ni hesabu sasa wewe endelea kukaririshwa na Aunt Li utegemee mambo ndo yatakuwa vilevile.
Huwezi na hautoweza kuwa na hoja zaidi ya kutuwekea mipasho ya TOT
 
Jiandaeni kisaikolojia na wakati wenu ni sasa maana safari yenu ya kuwaachia watanzania nchi yao ikiwa salama kwenye mikono salama ya mh Lissu ndiyo imewadia.
Endelea kumshabikia Aunt Li, halafu baada ya Oktoba 28 uende nae ubelgiji mkaolewe wote. Huku Magufuli akiwa anaapishwa kuwa Rais wa JMT
 
Back
Top Bottom