Uchaguzi 2020 Hatimaye CCM yajifuta rasmi Mtwara na Lindi

Na hao tayari washafanya yao na sasa ni vilio tu

Iko clip u-tube mbunge aliyemaliza muda wake wa maeneo ya huko akihojiwa. Safari hii inasemekana wanazo silaha mzito. Inventory ya mbagala na gongo la mboto baada ya milipuko ile ichunguzwe tena vizuri.
 
Kufuatia kushindwa kwa Serikali ya CCM kushikwa na kigugumizi cha kuwaamuru wanunuzi woote wa korosho kutekeleza utaratibu wa kusafirisha korosho msimu huu wa 2020/2021.

Kabla ya kuingia kwa awamu ya tano madarakani, serikali zilizopita zilikuwa na utaratibu wa kuhakikisha kuwa korosho inayozalishwa mkoa wa Mtwara na Lindi zinasafirishwa nje kwa kupitia bandari ya Mtwara.

Hii iliwasaidia wakazi wa Mtwara hasa wachukuzi, kina mama nitilie, wenye ma hotel, Guest house, ma baa, maduka, bodaboda, tax, wenye maghala, wenye majumba kujipatia kipato kutokana na kuwapangisha wanunuzi bidhaa zao.

Leo hii Serikali ya CCM inawaacha wana mtwara na njaaa huku wakiona mazao yao yakipita kwenda bandari ya Dsm.

Wana Mtwara na Lindi hiki ni kipindi chetu kuionyesha CCM kuwa wamechoshea na maonevu ya CCM kwa kuikataa kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
Amesalimu amri hata kampeni hatokwenda
 
Hii saccos ndio ishinde Mtwara na Lindi?. Punguani wakubwa, subirini kunyolewa bila maji.
Hivi hii tabia ya kubeza maelfu ya wananchi wenzenu na kujiaminisha ushindi kwa goli la mkono inawasaidiaje kuendelea kuwa madarakani?? Malawi yaja...
 
Kufuatia kushindwa kwa Serikali ya CCM kushikwa na kigugumizi cha kuwaamuru wanunuzi woote wa korosho kutekeleza utaratibu wa kusafirisha korosho msimu huu wa 2020/2021.

Kabla ya kuingia kwa awamu ya tano madarakani, serikali zilizopita zilikuwa na utaratibu wa kuhakikisha kuwa korosho inayozalishwa mkoa wa Mtwara na Lindi zinasafirishwa nje kwa kupitia bandari ya Mtwara.

Hii iliwasaidia wakazi wa Mtwara hasa wachukuzi, kina mama nitilie, wenye ma hotel, Guest house, ma baa, maduka, bodaboda, tax, wenye maghala, wenye majumba kujipatia kipato kutokana na kuwapangisha wanunuzi bidhaa zao.

Leo hii Serikali ya CCM inawaacha wana mtwara na njaaa huku wakiona mazao yao yakipita kwenda bandari ya Dsm.

Wana Mtwara na Lindi hiki ni kipindi chetu kuionyesha CCM kuwa wamechoshea na maonevu ya CCM kwa kuikataa kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
Ccm ilishafeli kitambo sana
 
Kufuatia kushindwa kwa Serikali ya CCM kushikwa na kigugumizi cha kuwaamuru wanunuzi woote wa korosho kutekeleza utaratibu wa kusafirisha korosho msimu huu wa 2020/2021.

Kabla ya kuingia kwa awamu ya tano madarakani, serikali zilizopita zilikuwa na utaratibu wa kuhakikisha kuwa korosho inayozalishwa mkoa wa Mtwara na Lindi zinasafirishwa nje kwa kupitia bandari ya Mtwara.

Hii iliwasaidia wakazi wa Mtwara hasa wachukuzi, kina mama nitilie, wenye ma hotel, Guest house, ma baa, maduka, bodaboda, tax, wenye maghala, wenye majumba kujipatia kipato kutokana na kuwapangisha wanunuzi bidhaa zao.

Leo hii Serikali ya CCM inawaacha wana mtwara na njaaa huku wakiona mazao yao yakipita kwenda bandari ya Dsm.

Wana Mtwara na Lindi hiki ni kipindi chetu kuionyesha CCM kuwa wamechoshea na maonevu ya CCM kwa kuikataa kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
CCM kimeshakufa mikoa yote ya kusini.
 
Nauliza tu. Kuna watu wanasema chama fulani kina sera nzuri na vyama vingine havina sera.

Nauliza katika wapiga kura milioni 29 ni wangapi watapiga kura kwa kuzingatia sera walizozisoma au kuzisikia nakuelewa?

Maana hata misahafu ipo na waumini wapo lakini watu wanaiishi hiyo misahafu?

Huenda sio kila mwenye miaka 18 au zaidi anasifa ya kupiga kura

Wengine huridhika tu kwa kusikia maneno yanayorejelewa mara nyingi kupitia nyimbo , mabango na hotuba.

Wengine ile tu kuona misafara ya magari, marangirangi na ngoma kidogo inatosha kuwavuta.

Ndio maana hata NEC walistuka mgombea mmoja alipotaka kulisha watu kwa ubwabwa.

Ndivyo tulivyo.
Ngoja nikutoe tongotongo mshamba wewe, Chama Cha Mapinduzi, kina wanachama hai milioni 17, achilia mbali mikakati ikiyopo kwa ajili ya kutafuta kura nyingine nyingi zaidi. Kwa hesabu ya kawaida tu chukua jumla ya wapiga kura wote ambao ni milioni 29,188,347 toa na hiyo nilioni 17Jibu utakalilopata utakuwa , unmejifunza.
 
IMG_20200926_235135.jpg
 
Mtoa mada kama una zungumza kuusu kusini za mtandaoni yeah upo sahihi sana lakini kama unazungumzia uhalisia pole Sana

Ni ngumu Sana kutoa tathimin ya kuangalia watu mfano mimi sija wahi enda kwenye mkutano wa siasa wa chama chochote ila kula nitapiga na najua Nani na mpigia

Sasa basi Inawezekana wengi wala enda ila wa chache tuu wata piga au ndio wenyewe Wana sifa za kupiga kula

Zingatia

Kuna wapambe na mashabiki alafu Kuna wa piga kula Hawa ndio Wana amua mchezo
 
Back
Top Bottom