Waha JF kwa habari za uhakika nilizo nazo toka Royola Mh Munyika ametangazwa rasmi kuwa mbuge wa jimbo la Ubungo kwa kura 56000 dhidi ya mpinzani wa CCM aliyepata kura 50,000.
Thanx to God!!!!!!!! Finally tumepata Mbunge jimbo la Ubungo. Tuna mateso makubwa wana kimara suka golani, Mnyika katutee, tunaamini soon tutakuwa na daraja na tutaepuka adha ya kusombwa na maji wakati wa mvua. Walikuwa wanatu-treat kama wanyama lakini tunaamini kwa kushirikiana nasi wananchi wa jimbo lako ukombozi utapatikana. HONGERAAAAAAA!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.