mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 504
- 1,666
Live hapa kutoka uwanja wa taifa mabondia Hassan Mwakinyo na Arnel Tinampay wanavuliwa gloves zao zenye rangi nyeupe nakuvishwa zenye rangi ya bendera ya taifa la yeye mbarikiwa mtukufu alietukuka jiwe kweli kweli, na huku bondia Hassan Mwakinyo akionekana kuwekewa dawa katika gloves zake.
Namshukuru yeye aliye juu jiwe mwamba kwelikweli kwa kuruhusu ulozi utumike hadharani na sasa nasema Mwakinyo apigwe.
Namshukuru yeye aliye juu jiwe mwamba kwelikweli kwa kuruhusu ulozi utumike hadharani na sasa nasema Mwakinyo apigwe.