Kampuni ya ndege ya Boeing itatengeneza ndege ya Rais (Airforce One) Kwa bei ya chini ya Dola Bilioni 4, mkurugenzi wa kampuni ndege ya Boeing aliwaambia waandishi Siku ya Jumatano.
Bwana Murlenburg ambaye ni mkurugenzi wa Boeing, alimsifu Trump Kwa kikao kilichokuwa na mafanikio makubwa ambapo walijadili njisi kampuni inavyoweza kutengeneza ndege 2 Kwa bei chini ya Dola Bilioni 4.
"Tunaenda kuipata Kwa bei chini ya hapo" aliongea mkurugenzi Boeing ndugu Murlenburg alisema niliweza kumueleza RAIS wajibu Wangu Kwa niaba ya Kampuni ya Boeing.
Punguzo hili limekuja baada ya Trump kutuma meseji katika Mtandao wa Twitter kutishia kufuta order ya ndege hizo baada ya bei kuonekana kubwa.
Baada kikao Trump alisikika akiwaeleza waandishi "Kuna watu wazuri sana" kikao kilihusu kupunguza gharama ambayo ilikuwa ghali sana.
Boeing CEO says he'll build Air Force Ones for less than $4 billion after Trump meeting
Bwana Murlenburg ambaye ni mkurugenzi wa Boeing, alimsifu Trump Kwa kikao kilichokuwa na mafanikio makubwa ambapo walijadili njisi kampuni inavyoweza kutengeneza ndege 2 Kwa bei chini ya Dola Bilioni 4.
"Tunaenda kuipata Kwa bei chini ya hapo" aliongea mkurugenzi Boeing ndugu Murlenburg alisema niliweza kumueleza RAIS wajibu Wangu Kwa niaba ya Kampuni ya Boeing.
Punguzo hili limekuja baada ya Trump kutuma meseji katika Mtandao wa Twitter kutishia kufuta order ya ndege hizo baada ya bei kuonekana kubwa.
Baada kikao Trump alisikika akiwaeleza waandishi "Kuna watu wazuri sana" kikao kilihusu kupunguza gharama ambayo ilikuwa ghali sana.
Boeing CEO says he'll build Air Force Ones for less than $4 billion after Trump meeting