Hatimaye Angela Kairuki ataja muda wa ajira za walimu wa Sayansi

Hio ilkua janjajanja tu ya Sirikali maana waombaji ni wengi zaidi ya nafasi zilizopo,,sasa katika hali ya kawaida mtu unakoseaje kutuma cheti??Kuscan na kutuma vinafika,,sasa wameonaje kama vimekosewa kama havijawafikia??Lengo ni kupiga Panga alafu baadae wataambiwa subirini Uhakiki ujao..ambao hautatokea,,Data zote ,,kuhusu vyeti zipo NECTA na Mecta ipo chini ya Serikali,Huo ni ujanja ujanja tu
AFADHALI NA WW UMEONA
 
Kama serikali itakuwa na dhamira ya dhati na kuachana yaliyoahidiwa mara kadhaa (kauli ambazo hazina ukweli ndani yake) bila utekelezaji. Kufuatia kauli kauli ya Mh. A. Kairuki aliyoitoa bungeni mapema mwezi huu kuwa ajira kwa kada ya elimu kufikia March watakuwa wameingia kwenye utumishi.

Kwa wale wanaotarajia kupangiwa ajira hizi hadi kufikia Jumapili ijayo tayari utakuwa umepata mustakabali wa maisha yako yatakuwa wapi.

Vijana mnaotarajia kupata ajira hizi jiandae kisaikolojia kupata makazi yako ya kudumu ambayo hadi sasa haifahamiki ni wapi ndani ya Tanzania yetu.
Kila la kheri.

Serikali tunaiomba kwa heshima na taadhima isilete vikwazo vingine!
Mara ooooh:
* Mafundi sanifu maabara walichelewa kutuma vyeti/ walikosea wanaongezewa muda wa marekebisho ili majina yatolewe kwa pamoja.

* Wakurugenzi walichelewa kuleta mahitaji ya walimu wanaowahitaji katika maeneo yao

* System iligoma tukashindwa kutangaza ndani ya muda uliopangwa.

* Tuliposema ajira ni March tulimaanisha tutatangaza March Mwishoni ili kuripoti iwe April (Kauli ya Waziri ipo wazi, "Hadi kifikia March watakuwa wameingia kwenye Utumishi")

*Hadi sasa waliotuma vyeti ni 2,100 tu hivyo tunatoa muda mwingine ili aliyechelewa kupata taarifa au aliyekosea kutuma atume ndani ya muda uliotolewa kwa kufuata maelekezo yaliyotolewa.


Unaweza kuongeza sababu nyingine zinazoweza kuwa sababu ya kuendelea kusogeza muda!
 
Cc wa arts sijui mheshimiwa anatufikiliaje kwani tunadhalilika mtaani kwa maisha yasiyo na dira tumetumia mda mwingi kusoma serikari inatusahau, namuomba Sana mkuu atuangalie na cc kwani hatuna mbele wala nyuma ,
Cha kushangaza udahili wa walimu wa sanaa unaendelea vyuoni!
 
Walimu wa sayansi sio wengi wanaohitimu vyuoni labda wangechukua na waliomaliza mwaka jana wangeweza kufikia hao 4350
 
Walimu wa sayansi sio wengi wanaohitimu vyuoni labda wangechukua na waliomaliza mwaka jana wangeweza kufikia hao 4350
 
Cc wa arts sijui mheshimiwa anatufikiliaje kwani tunadhalilika mtaani kwa maisha yasiyo na dira tumetumia mda mwingi kusoma serikari inatusahau, namuomba Sana mkuu atuangalie na cc kwani hatuna mbele wala nyuma ,
Mkuu changamkia fulsa!
wachana na lawama, Tanzania inamapori ya kutosha ingia shamba kazalishe mazao hutadhalilika tena
 
Wacha wasiajiri ili kufikia kipindi flan walimu wawe wamepungua kwa mwendokasi, kma ni hivyo wale wanaosoma masomo ya sanaa wasitishwe kudahiliwa,
[HASHTAG]#Nadhaninambainasomeka[/HASHTAG]
 
ww unaekosoa serikal umewah piga magot kuiombea kw mungu mana hakuna mamlaka inayotok kw mwnadm zatoka kw mungu
 
ww unaekosoa serikal umewah piga magot kuiombea kw mungu mana hakuna mamlaka inayotok kw mwnadm zatoka kw mungu
utakua umerogwa ww sio bure:(. serikali inafanya madudu na wanyonge wanaikosoa kutokana na madudu hayo, ww unawakosoa wanyonge kwa kuikosoa serikali:(. kwanini ww hujaacha kuwakosoa hao wanyonge wanaoikosoa serikali na badala yake ukapiga magoti na kusali kuwaombea hao wanyonge ili waache kuikosoa serikalio_O.
 
Back
Top Bottom