mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,037
- 35,901
2006 Nimeishi na pascal mayalla mabibo hostel block F Na lipikipiki lake kubwa ,ghafla nasikia amedisco,sina shaka na uwezo wake ila alifanyiwa figisu cha kushangaza hajawahi kukemea wala kulaani figisu zinazoharibu maisha,now angekuwa judge lakini ndio haiwezekani maana amebakisha miaka michache ya umri wa kustaafu na hana experience ya miaka kumi,Pascal Mayala ,ilimchukua miaka 15 kumaliza degree ya law Udism .Bora huyu.