wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
Toka msaidizi wa Meneja Mkoa kwenda kuwa Msaidizi Meneja wilaya hizo nazo ni FIGISU na kukatishana tamaa; huyu ni mzoefu ambaye anatakiwa kukabidhiwa mkoa wa kikodi
TUNATEKELEZA
Toka msaidizi wa Meneja Mkoa kwenda kuwa Msaidizi Meneja wilaya hizo nazo ni FIGISU na kukatishana tamaa; huyu ni mzoefu ambaye anatakiwa kukabidhiwa mkoa wa kikodi
Huyu dada amenyanyasika sana..kwanini mnamfuata fuata hivi....huu sio utumishi bali ni upumbavu ....kukomoana sio sawa....angekuwa mtu wangu wa karibu....ningemshauri aachane na hiki kibarua
Hayo ndio madhara ya kuajiriwa? Unaweza kudhalilishwa kama vile hujawahi kufanya lolote jema kwa Taifa lako
Mh Raisi ameshasema hataki kuongoza watu wanaohuzunika muda wote; kama wewe uko jikoni mfute huyo machozi kwa kutambua mchango wake kwenye kukusanya kodi. Amejijengea maadui wengi sana wakati wa kutimiza wajibu wake; kilichofanyika mmewapa furaha isiyostahili maadui wake (waliokuwa hawapendi kulipa kodi)Then utampeleka chooni wewe?
Hahahaha. Mwehu kweliHuyo dada pichani hachoshi ukiwa naye kitandani...
Acha tu dahHuyo dada pichani hachoshi ukiwa naye kitandani...
Ili waendelee kuibaAsilimia kubwa ya watumishi wa taasisi zifuatazo watafurahi sana endapo watasikia mzee magu kanyoosha goti kwani amekuwa mwiba mchungu sana. TRA, maliasili yote, BANDARI, MADINI, MAMBO YA NJE, ongeza nyingine list itimie