Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,600
Mtabiri. Unapatikana wapi please ?Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Mtabiri. Unapatikana wapi please ?Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Hatimaye.Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Nafikiri kanyang'anywa na AwesoTayari kavuta mke mwingine huy dogo ana balaa
Huko ni fujo tuKuna mtu alianzisha uzi kusifia usafi, busara na kujua mapenzi kws wanawake waislamu.
Nikamuuliza katika wanawake waislamu 10 walioolewa anawajua wangapi ambao bado wapo kwenye ndoa?
Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Kama ni huyu niliyekuwa nikimfahamu mimi mwaka 2007 pale sinza madukani mkono wa kushoto ukitokea legho Kwa mama J & H wale mapacha wakike na kiume basi HB tangu akiwa hana maisha.Huyo abdul Mohamed ni handsome.
Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Babu umetabiri bila kujua au ilitokea tu naona hat muda Ni huu huu sasa Ni mke wa awesoNdoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Kwamba mimi ndio huyo zainab au?
Juma Aweso akiziona hizi picha lazima aingiwe tu na ule wivu wa kibinadamu hata kama alimpora jamaa mke wake.View attachment 560658 View attachment 560656 View attachment 560655
Naona bwana Mdogo Abdul Mohamed,General Manager wa Azam Sports Club ameachana na ukapela na hatimaye kufunga ndoa na Mkuu wa Wilaya ya Pangani Bi.Zainabu Abdalah!!
Make up ya Bibi Harusi ipo Ok kabisa...Hakuna matata
We Jamaa ni mganga wa ramli chonganishi😂😂😂😂 da hongera sana Kwa ubashiri wako muruaNdoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Duh!...Ndoa za mastaa huwa hazidumu na dini yenyewe talaka ni ruksa wakichukua miaka 3 Mungu anajua
Acha tamaa....Huyo abdul Mohamed ni handsome.
Si kwa ubaya ila demu mwenyewe mbovu kishenzJuma Aweso akiziona hizi picha lazima aingiwe tu na ule wivu wa kibinadamu hata kama alimpora jamaa mke wake.
Angetamani kuwa wa kwanza kumuona Bi. Zainabu! Ila ndiyo hivyo tena. Alichelewa, hata ndiyo mmiliki kwa sasa.
mkaka n handsome jaman, uwiiiiiiiihKama ni huyu niliyekuwa nikimfahamu mimi mwaka 2007 pale sinza madukani mkono wa kushoto ukitokea legho Kwa mama J & H wale mapacha wakike na kiume basi HB tangu akiwa hana maisha.
maisha yanaenda kasi sana.kijana alikuwa mnyenyekevu Kwa kila mtu sijui kama atakuwa amebadilika
mie nimemsifia tyuuh.Acha tamaa....
Halafu ramli ikatimia Bi Zainab ameolewa na kuwa mke wa pili wa Bwana Waziri wa MajiUmechagua kuwa mpiga ramli....dua la kuku hilo.
Nikajua ni yule wa Aweso ilibidi nikaangalie tena walivyokuwa bungeniView attachment 560658 View attachment 560656 View attachment 560655
Naona bwana Mdogo Abdul Mohamed,General Manager wa Azam Sports Club ameachana na ukapela na hatimaye kufunga ndoa na Mkuu wa Wilaya ya Pangani Bi.Zainabu Abdalah!!
Make up ya Bibi Harusi ipo Ok kabisa...Hakuna matata
Nikajua ni yule wa Aweso ilibidi nikaangalie tena walivyokuwa bungeni