Hatimae yamenikuta Google Adsense wamelamba account yangu

the event

Member
Nov 7, 2013
83
20
Wadau yamenikuta mwenzenu nilikua nikiambiwa sana kuhusiana na adsense kufingia account za africa na especial zinazotegemea traffic ya facebook sasa hatimae yamenikuta wamelamba account yangu ikiwa na kama $148 ,,,asanteni adsense mmeniliza leo

Wadau naomba mmbadala wa adsense tafadhali nataka nianze maisha mapya usiku huu huu tafadhali,na katika ushauri wenu zingatien kua 90% ya traffic yangu facebook na traffic zangi zinatoka usa,uksouthafrica,canada kenya na bongo kwa sana...na blog yangu ni ya mambo ya dating na haina matusi matusi wala picha za ajabu

Naombeni ushauri wenu soon as posible nianze maisha mapya maana blogging ndio maisha yetu vijana wa town

nawasilisha::

mazagazagaa pamoja na wakongwe wengine nategemea ushauri wenu
 
Wadau yamenikuta mwenzenu nilikua nikiambiwa sana kuhusiana na adsense kufingia account za africa na especial zinazotegemea traffic ya facebook sasa hatimae yamenikuta wamelamba account yangu ikiwa na kama $148 ,,,asanteni adsense mmeniliza leo

Wadau naomba mmbadala wa adsense tafadhali nataka nianze maisha mapya usiku huu huu tafadhali,na katika ushauri wenu zingatien kua 90% ya traffic yangu facebook na traffic zangi zinatoka usa,uksouthafrica,canada kenya na bongo kwa sana...na blog yangu ni ya mambo ya dating na haina matusi matusi wala picha za ajabu

Naombeni ushauri wenu soon as posible nianze maisha mapya maana blogging ndio maisha yetu vijana wa town

nawasilisha::

mazagazagaa pamoja na wakongwe wengine nategemea ushauri wenu

nDiVyO Adsense walivyo siku hizi kuna upepo mbaya, vumilia tu. tafuta account nyingine uanza maisha mapya. hapo hakuna cha kurudishiwa account ndugu.
 
Wadau yamenikuta mwenzenu nilikua nikiambiwa sana kuhusiana na adsense kufingia account za africa na especial zinazotegemea traffic ya facebook sasa hatimae yamenikuta wamelamba account yangu ikiwa na kama $148 ,,,asanteni adsense mmeniliza leo

Wadau naomba mmbadala wa adsense tafadhali nataka nianze maisha mapya usiku huu huu tafadhali,na katika ushauri wenu zingatien kua 90% ya traffic yangu facebook na traffic zangi zinatoka usa,uksouthafrica,canada kenya na bongo kwa sana...na blog yangu ni ya mambo ya dating na haina matusi matusi wala picha za ajabu

Naombeni ushauri wenu soon as posible nianze maisha mapya maana blogging ndio maisha yetu vijana wa town

nawasilisha::

mazagazagaa pamoja na wakongwe wengine nategemea ushauri wenu
mkiambiwa adsense haifai mnakua wabishi..... mtafute mkongwe mazagazagaa huyo jamaa anapiga dollar za propeller na revenue hits ni balaa,hatari akupe ushauri, kwa sasa mimi napata vidollar 150-180 kila mwezi baada ya kusaidiwa na mazagazagaa free of charge/sikumpa pesa yoyote..
 
mkiambiwa adsense haifai mnakua wabishi..... mtafute mkongwe mazagazagaa huyo jamaa anapiga dollar za propeller na revenue hits ni balaa,hatari akupe ushauri, kwa sasa mimi napata vidollar 150-180 kila mwezi baada ya kusaidiwa na mazagazagaa free of charge/sikumpa pesa yoyote..

asante kiongoz wangu nilikua nawasiliana na mazagazaga kipindi flan ila kwa sasa naona namba yake haipatikani na nimemcheki PM naona bado hayuko online unaweza nisaidia namba yake PM plz?? Pia na namba yako ikiwezekana mkuu
 
pole sana wacheki proppeller ads au bidvertiser mkuu wako vizuri hawazingui.

Pamoja kiongozi wangu...ila nimeanza kujaribu propeller ila naona convertion yao ni ndogo mno utakuta unapata traffic nzuri lakini mpunga mdogo sana???
 
Kuna mahali ulikosea mkuu, mi natumia AdSense tangu 2013 na traffic Kubwa inatoka bongo tena Fb lakini mpaka leo iko vzr inapata mpaka 94 USD kwa siku. Impression za blog ni mpaka 280,000 kwa siku
 
Back
Top Bottom