Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,150
- 15,601
Simple tu mkuu!!!Wakikujibu uniite
W'app→Settings→Charts→Themes utaikuta iko Light weka Dark umemaliza,usipoona update kwanza hiyo app.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Simple tu mkuu!!!Wakikujibu uniite
Tunazungumzia instaSimple tu mkuu!!!
W'app→Settings→Charts→Themes utaikuta iko Light weka Dark umemaliza,usipoona update kwanza hiyo app.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Insta hua ukiweka tu dark mode inakuja yenyewe. Naona hua inafuata system defaultTunazungumzia insta
Instagram app haina sehemu ya ku-set dark mode. Ila built-in dark mode pekee ndio huibadili Instagram kuwa dark. Kama android version yako hai-support dark mode, ingia Play Store tafuta app inaitwa dark mode (ina icon ya mwezi) ifungue alf chagua Night mode, ukiweka hii app itabadilika rangi na kuwa nyeusi. Hapo sasa utaweza kutumia dark mode kwenye instagram, ukitaka kuitoa utarudi kwenye app na kuweka Day mode.Tunazungumzia insta
Simu yako ndio yenye haya matatizo hayo. Hawajaweka automatic ila wameweka system defualt, ukiweka dark mode ndio na yenyewe inabadilika ila sio kwamba ikifika usiku tu inabadilikawalichokosea jamaa ni kweka automatic ili mchana iwe nyeupe usiku ibadilike
Ipo kama unatumia chromeNatamani dark mode katika JamiiForums web.
Hebu nielekeze mkuu.Ipo kama unatumia chrome
Gusa vi dot vi3 hapo juu kulia > setting > themes > chagua darkHebu nielekeze mkuu.
MfGusa vi dot vi3 hapo juu kulia > setting > themes > chagua dark
Mi haibadiliki automatically ni dark muda wotewalichokosea jamaa ni kweka automatic ili mchana iwe nyeupe usiku ibadilike
Natamani dark mode katika JamiiForums web.
Ni nzuri kama unatumia simu muda mrefumnapendea nini dark mode ? mimi hua siipendi kabisa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Katika vitu nilikua natamani siku zote ni night/dark mode kwa whatsapp.
Hatimae whatspp wamezindua huo mfumo kwa watumiaji wote wa whatsapp.
Huu ni mfumo unaopunguza au kuondoa kabisa mwanga mweupe na kuweka mwanga mweusi kwenye ukurasa wa whatsapp ukiwa unaitumia ili kulinda macho.
Sasa wale watumiaji wa android 9 na android 10 tunaanza kufurahia hiyo huduma na wale wa ios 13. Andoid 10 hii kitu iko automatic ukishaweka tu dark mode apps zote zenye dark mode hubadilika na kua dark au unaweza kuforce nyingine zote kwa kwenda kwenye developers mode kisha weka force dark mode.
Dark mode imezinduliwa leo, nenda whatsapp update kisha anza kufurahia huduma.
WhatsApp dark mode now available for iOS and Android
Kwa nini wajute warumiaji wa GB watsapp mkuu ?Kwa sasa karibu kila kitu ni dark mode ndo mpango mzima haiui macho
Mpk freebasic ina dark mode
Katika ujinga siwezi Fanya ni kutumia Yale ma GB wasap yaani mtakuja kujuta
Ipo dark mode mbonaKwa sasa karibu kila kitu ni dark mode ndo mpango mzima haiui macho
Mpk freebasic ina dark mode
Katika ujinga siwezi Fanya ni kutumia Yale ma GB wasap yaani mtakuja kujuta
Yaani sometime developer wao muhindi akiwa anaifanyia app marekebisho na mambo mengine kama update.Kwa nini wajute warumiaji wa GB watsapp mkuu ?