Hii ndyo raha ya jf
Kuna wamarekani , warusi ,wairan hamuhumu hadi waisrael , ila wasawasi wangu sijajua kama hadi wa Tz humu wapo pia?
Atauzaje kitu ambacho hajakimiliki bado. Na bado wanataka kuondolewa mazima kwenye program ya F-35.
Urusi wanazo za kukodisha. Kiwanda still kiko UkrineHivi hizi ndege za Antonov kiwanda chake kilikuwepo Ukraine na warusi wanadai wanataka kutengeneza upya hizi ndege za mizigo ambazo hata ulaya wakitaka kusafirisha mizigo mizito huenda kukodi izo ndege Urusi, huu mzozo uliishia wapi?
Kulikuwa na Mgogoro yes make inasemekana kiwanda kikuwa Urusi kikahamishiwa Ukrine enzi hizo na Warusi wanadai wana haki ya kuzalisha hizo ndegeHivi hizi ndege za Antonov kiwanda chake kilikuwepo Ukraine na warusi wanadai wanataka kutengeneza upya hizi ndege za mizigo ambazo hata ulaya wakitaka kusafirisha mizigo mizito huenda kukodi izo ndege Urusi, huu mzozo uliishia wapi?
S-400 is tot old, hiyo 500 haijaanza kazi nayenyewe tutahangaika nayo pia.Hahaha Russia wako busy kuproduce kitu cha s-500 ..nyinyi mnahangaika na hiyo old model ..kweli mmefilisika kwa mawazo
Russia’s advanced S-500 SAM ‘ready for series production’ – ministerS-400 is tot old, hiyo 500 haijaanza kazi nayenyewe tutahangaika nayo pia.
Russia ‘ready to cooperate’ to sell Turkey Su-57 fighter jetsTurkey ni moja ya wadau walioweka pesa kwenye hiyo program,na tayari walishapokea ndege nne ambazo bado ziko katika ardhi ya marekani zikifanyiwa mazoezi na marubani wa Turkey
Russia’s advanced S-500 SAM ‘ready for series production’ – ministerHahaha Russia wako busy kuproduce kitu cha s-500 ..nyinyi mnahangaika na hiyo old model ..kweli mmefilisika kwa mawazo