Mchawi nani sasa kwenye bandiko lako?Wachawi na wanafiki utawajua tu. Sam msanii wa bongo flava anasema "Hata Kwetu wapo tu.." hapo anawazungumzia wanafiki na wachawi.
Hapa kazi tu
Magufuli oyeeee
Link Gesi asilia inavyofungua njia kwa Watanzania kuagana na umaskiniKwa hiyo ndio kusema gesi ya ntwara kumbe ni mradi hewa na hauwezi kuzalisha kiasi hicho cha megawati zitakazozalishwa hapo rufiji???
Hii nchi hii kwa kweli inaudhi sana
Link Umeme kizungumkuti Wizara ya Nishati na MadiniHata bomba la gesi mtwara story zilikuwa hizihizi..Yangu Macho & Kila la kheri wadanganyika wenzangu
Mbona zabuni za ununuzi wa Bombadia hawakutangaza kwa umma?
Haya mambo ndo yanayotakiwa, Magufuli always walks the talk.
Alafu wale Nyumbu utasikia hakuna kinachofanyika, utasikia kila siku anateua na kutengua
shukuru Mungu hata kwa hicho kidogo kilichopatikana, mengine waachie wanasiasa.
Link Gesi asilia inavyofungua njia kwa Watanzania kuagana na umaskini
Akielezea mikakati ya upatikanaji wa nishati ya uhakika nchini, Profesa Muhongo alisema kuwa serikali imeandaa mpango wa matumizi ya vyanzo vya nishati ya umeme ambapo gesi ni asilimia 40, maji asilimia 25, makaa ya mawe asilimia 30 na nishati mbadala asilimia 5.
Link Nishati ya uhakika kutokomeza umasikini–Prof. Muhongo — Ministry of Energy and Minerals
Link Pinda: Bomba la gesi kukamilika mwaka huu
Umeme haubanani ndugu, gas ya mtwara imejengewa na inaendelea kujengewa mitambo ya kufua umeme pale kinyerezi. Vivyo hivyo na huu mradi pia tunauhitaji tena sana tu. Hata tukizalisha 10,000mw itakuwa ni vyema tu.Kwa hiyo ndio kusema gesi ya ntwara kumbe ni mradi hewa na hauwezi kuzalisha kiasi hicho cha megawati zitakazozalishwa hapo rufiji???
Hii nchi hii kwa kweli inaudhi sana
Hongera na ubarikiwe ndugu kwa kuwaelewesha hawa watuLink Gesi asilia inavyofungua njia kwa Watanzania kuagana na umaskini
Akielezea mikakati ya upatikanaji wa nishati ya uhakika nchini, Profesa Muhongo alisema kuwa serikali imeandaa mpango wa matumizi ya vyanzo vya nishati ya umeme ambapo gesi ni asilimia 40, maji asilimia 25, makaa ya mawe asilimia 30 na nishati mbadala asilimia 5.
Link Nishati ya uhakika kutokomeza umasikini–Prof. Muhongo — Ministry of Energy and Minerals
Link Pinda: Bomba la gesi kukamilika mwaka huu
Achana na exaggeration za wanasiasa ndugu. Chamuhimu ni kuwa miradi hio ipo na inaendelea kutekelezwa.Hizo link hazina lolote kwa hili linalilotokea sasa nchini kwetu,ni dhahiri shairi kwa sasa gesi iliyopigiwa chepuo na wanasiasa kuwa itakuwa ndio mkombozi na tatizo la umeme litakuwa historia nchini kwetu imefeli,kuna watu wanatakiwa wanyongwe kabisa kulipia hasara waliyoingiza katika suala hili,hawastahili kuendelea kutumalizia hewa yetu wakati washatutia hasara kubwa sana inayoitafuna nchi miaka mingi sana
Achana na exaggeration za wanasiasa ndugu. Chamuhimu ni kuwa miradi hio ipo na inaendelea kutekelezwa.