Hatimae sasa hoja zote za upinzani zinajibika ‘With high confidence and logic’ ikiwemo suala la Katiba

Azizi Mussa

JF-Expert Member
May 9, 2012
9,172
7,428
Ujue tatizo la hoja ni kwamba haifi hadi amma ijibiwe, au ikubalike na kufanyiwa kazi. Huo ndio uzuri au ubaya wa hoja.Hoja haifi kwa kumpiga ngumi mtoa hoja.

Nyuma hapo, kuna kipindi ambapo yalikuwa yanajitokeza mambo ambayo kwa mtu mwenye busara na akili ya wastani tu, kusimama hadharani kuyatetea ueleweke unaongea nini ilikuwa ni ngumu sana.

Sasa hatimae katika awamu hii ya sita, mtu unaweza kusimama with ‘High confidence’ na ukajibu hoja yoyote ile ya wapinzani (logically) ikiwemo hoja ya katiba mpya na asitokee mtu mwenye hoja mbadala yenye nguvu.

Hii imewezekana kwa sababu awamu hii inafanya siasa za kisayansi. Inafanyia kazi hoja za msingi bila kujali nani katoa na inatanguliza dhamira njema kwa watu wote na kwa taifa kupitia (4Rs) na mabadiliko yanaonekana kwa uwazi sana.

Hoja pekee waliyobaki nayo upinzani ni ‘katiba mpya’ hata hivyo, nayo pia iko kwenye 'pipeline' kwa maana kwamba inatengenezewa utaratibu mzuri ambao utatusaidia kupata katiba bora na kwa right timing. Kwa lugha nyingine tunaweza kusema inafanyiwa kazi kisayansi na sio kwa mihemko. Hivyo, hadi sasa hakuna tena hoja hapo.

Hii ndio siasa ya kisasa ambayo tumekuwa tunaipigania siku nyingi, yaani hoja inajibiwa kwa hoja, hoja nzuri zinapokelewa na kufanyiwa kazi, tunasonga mbele kama taifa bila kuumizana.

Tuendelee kumsaidia Mheshimiwa Rais kwa kila mtu kutekeleza wajibu wake kulingana na mazingira na uwezo wake ili kufanikisha reforms zinazoendelea na ili tuweze kuifikia Tanzania tuitakayo mapema zaidi.
 
CCM ni chama kikubwa sana
Uko sahihi kabisa mkuu. Ukilinganisha na vyama mbadala vya Tanzania (kibongo kibongo) CCM bado imewaacha vyama vingine kwa mbali sana kwa kila aina ya capacity.

Kinachotakiwa tu ni kujiepusha kuwa kwenye 'comfort zone' na kutengeneza mkaka kabambe wa capacity bulding kwa vijana kwa ajili ya leo na kesho kwani eneo hilo bado halijawekewa mkazo wa kutosha. Kwa mfano kuna hali ya vijana kutokuwa na confidence ya kutosha kujibu hoja zinazojitokeza wakati zinajibika kirahisi tu.
 
Wote tunachotaka ni amani na utulivu.

Ila ni muhimu kujua kwamba hao ni fahali wawili, kukaa zizi moja kwa utulivu ni nadra sana. Hii ni kwa kuwa wote wanagombea jike moja (KUSHIKA DOLA).

Ndio maana kuna usemi, 'Amani haiji bali kwa ncha ya upanga'
 
Sema kimeanza kubadilika kama tunayoyaona hayana Hila ndani yake,kutoka kuwa Chama Cha kiharamia kuelekeza kuwa Chama Cha siasa.🤔
Mkuu hakuna hila. Utafanyaje hila kwenye sayansi? sayansi ni kanuni. Kwa mfano sasa hivi inatumika kanuni ya 'Sowing and Reap' yaani panda mbegu uvune.Unachootesha ndicho utakachovuna kikiwa kimeongezeka x 1000. Awamu ya sita inapanda wema, inapanda mifumo bora, inapanda mazingira wezeshi kwa kila mtu kufanikiwa.
 
Katiba mpya ni hoja ya watanzania wote
Uko sahihi kabisa mkuu, sema kunakuwa na tofauti juu ya namna ya kulishughulikia suala hilo miongoni mwa vyama vya siasa, kwa sababu licha ya vyama vya siasa kudai katiba mpya ni kwa maslahi ya taifa, kuna wanaoliangalia kwa jicho la maslahi ya vyama. Ndio maana inahitajika kutengenezwa mazingira rafiki na ulewa wa pamoja kabla ya kuanza tena mchakato huo ili tusije kukwama kama tulivyokwama 2014. Hivyo dhamira ni njema kabisa kwamba sasa tuende kisayansi badala ya emotions.
 
Uko sahihi kabisa mkuu, sema kunakuwa na tofauti juu ya namna ya kulishughulikia suala hilo miongoni mwa vyama vya siasa, kwa sababu licha ya vyama vya siasa kudai katiba mpya ni kwa maslahi ya taifa, kuna wanaoliangalia kwa jicho la maslahi ya vyama. Ndio maana inahitajika kutengenezwa mazingira rafiki na ulewa wa pamoja kabla ya kuanza tena mchakato huo ili tusije kukwama kama tulivyokwama 2014. Hivyo dhamira ni njema kabisa kwamba sasa tuende kisayansi badala ya emotions.
Katiba ilishaletwa na jaji warioba, ile ilikuwa na ridhaa ya wananchi. Matatizo yote yalikuja baada ya ccm kuamua kuibadilisha.

Hakuna sababu ya kupoteza muda. Ile ipelekwe kwenye kura ya maoni biashara iishe.
 
Katiba ilishaletwa na jaji warioba, ile ilikuwa na ridhaa ya wananchi. Matatizo yote yalikuja baada ya ccm kuamua kuibadilisha.

Hakuna sababu ya kupoteza muda. Ile ipelekwe kwenye kura ya maoni biashara iishe.
Mkuu, Mzee Kikwete alikuwa na dhamira njema sana kuhusu katiba mpya , na alisema lengo lake ni asitoke madarakani kabla ya kutupatia katiba mpya. lakini tuliona 'actors' wengine wakikwamisha zoezi na hatimae likishindikana na hivyo lengo zuri la mzee Kikwete (CCM) halikufikiwa.

Hata tume ya Warioba si aliiunda Mzee wetu Kikwete (Rais na Mwenyekiti wa CCM wakati huo)? so tunachojifunza hapa ni kwamba licha ya Rais na Mwenyekiti wa CCM kuwa na mchango mkubwa kwenye hili, yeye sio na hapaswi kuwa Alfa na Omega wa katiba mpya (Kwani akifanya hivyo wengine wanakwamisha) bali pia kuna mchango na ushawishi wa wadau 'Actors' wengine.

Kwa mantiki hiyo, ni muhimu kuwekana sawa kwanza kwa wadau wote , na kujenga uelewa wa pamoja, na ndicho kinachofanyika sasa na watu wakiachana na emotions na kwenda kwenye ku reason ndio tunaenda sasa. Ni lazima tujifunze kutokana na makosa, vinginevyo tukienda kama maroboti tutakwama pale pale tulipokwamia 2014 maana watu ndio hawa hawa na wabongo tunajijua tu wenyewe.
 
Ujue tatizo la hoja ni kwamba haifi hadi amma ijibiwe, au ikubalike na kufanyiwa kazi. Huo ndio uzuri au ubaya wa hoja.Hoja haifi kwa kumpiga ngumi mtoa hoja.

Nyuma hapo, kuna kipindi ambapo yalikuwa yanajitokeza mambo ambayo kwa mtu mwenye busara na akili ya wastani tu, kusimama hadharani kuyatetea ueleweke unaongea nini ilikuwa ni ngumu sana.

Sasa hatimae katika awamu hii ya sita, mtu unaweza kusimama with ‘High confidence’ na ukajibu hoja yoyote ile ya wapinzani (logically) ikiwemo hoja ya katiba mpya na asitokee mtu mwenye hoja mbadala yenye nguvu.

Hii imewezekana kwa sababu awamu hii inafanya siasa za kisayansi. Inafanyia kazi hoja za msingi bila kujali nani katoa na inatanguliza dhamira njema kwa watu wote na kwa taifa kupitia (4Rs) na mabadiliko yanaonekana kwa uwazi sana.

Hoja pekee waliyobaki nayo upinzani ni ‘katiba mpya’ hata hivyo, nayo pia iko kwenye 'pipeline' kwa maana kwamba inatengenezewa utaratibu mzuri ambao utatusaidia kupata katiba bora na kwa right timing. Kwa lugha nyingine tunaweza kusema inafanyiwa kazi kisayansi na sio kwa mihemko. Hivyo, hadi sasa hakuna tena hoja hapo.

Hii ndio siasa ya kisasa ambayo tumekuwa tunaipigania siku nyingi, yaani hoja inajibiwa kwa hoja, hoja nzuri zinapokelewa na kufanyiwa kazi, tunasonga mbele kama taifa bila kuumizana.

Tuendelee kumsaidia Mheshimiwa Rais kwa kila mtu kutekeleza wajibu wake kulingana na mazingira na uwezo wake ili kufanikisha reforms zinazoendelea na ili tuweze kuifikia Tanzania tuitakayo mapema zaidi.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
#CCMLEONAKESHO
 
Mkuu, Mzee Kikwete alikuwa na dhamira njema sana kuhusu katiba mpya , na alisema lengo lake ni asitoke madarakani kabla ya kutupatia katiba mpya. lakini tuliona 'actors' wengine wakikwamisha zoezi na hatimae likishindikana na hivyo lengo zuri la mzee Kikwete (CCM) halikufikiwa
Na hata wwbunge wa ccm walipolaimizika kwenda peke yao( bila wapinzani) bado na wao hawakufika mbali.
 
Katiba ilishaletwa na jaji warioba, ile ilikuwa na ridhaa ya wananchi. Matatizo yote yalikuja baada ya ccm kuamua kuibadilisha.

Hakuna sababu ya kupoteza muda. Ile ipelekwe kwenye kura ya maoni biashara iishe.
Na hao wanaccm walipojaribu kubadilisha na kutaka kwenda peke yao bado walishindwa. Katiba sio issue ya kikundi cha watu fulani tu. Ikiwa hivyo haitapatikana. Ile ya Warioba ilienda vizuri kwa sababu ilikuwa ya watanzania wote.
 
Mkuu hakuna hila. Utafanyaje hila kwenye sayansi? sayansi ni kanuni. Kwa mfano sasa hivi inatumika kanuni ya 'Sowing and Reap' yaani panda mbegu uvune.Unachootesha ndicho utakachovuna kikiwa kimeongezeka x 1000. Awamu ya sita inapanda wema, inapanda mifumo bora, inapanda mazingira wezeshi kwa kila mtu kufanikiwa.
Ila najua na ninaamini wapo wanakijani Tena wengi ambao ndio tatizo wapo tayari kuhujumu au ama wanaihujumu Nia hiyo njema inayoanza kuchomoza kwambaaali🤔
 
Ila najua na ninaamini wapo wanakijani Tena wengi ambao ndio tatizo wapo tayari kuhujumu au ama wanaihujumu Nia hiyo njema inayoanza kuchomoza kwambaaali🤔
Wapo wengi sana. Wana woga na hofu kwamba mambo yao yataharibika. Lakini mi watoe wasi wasi tu hakuna kitakachoharibika.

Ncho itaongozwa kwa misingi ya Utawala bora
 
Na hata wwbunge wa ccm walipolaimizika kwenda peke yao( bila wapinzani) bado na wao hawakufika mbali.
Yes! ishu ya katiba inatakiwa kuwa 'Inclusive' na wadau wawe na misimamo ya wastani huku wakitumia zaidi reasoning kuliko emotions. Kwa bahati mbaya ni kwamba wakati wadau wengine wakiwa na misimamo ya wastani akiwemo Mzee Kikwete, Vyama vya siasa viliweka mbele misimamo mikali kila kimoja kikiangalia katiba mpya kama meli ya kuingia madarakani au kutoka.

Sasa katika mazingira hayo hatuwezi kupata katiba mpya ni lazima ifike mahali makundi maslahi ya kubali kutuliza akili. Na sasa hicho ndicho kinachofanyika. Tukianza kwa mwendokasi, vyama vitaanza kusuguana tena, mwisho tutarudi kule kule.
 
Mkuu, Mzee Kikwete alikuwa na dhamira njema sana kuhusu katiba mpya , na alisema lengo lake ni asitoke madarakani kabla ya kutupatia katiba mpya. lakini tuliona 'actors' wengine wakikwamisha zoezi na hatimae likishindikana na hivyo lengo zuri la mzee Kikwete (CCM) halikufikiwa.

Hata tume ya Warioba si aliiunda Mzee wetu Kikwete (Rais na Mwenyekiti wa CCM wakati huo)? so tunachojifunza hapa ni kwamba licha ya Rais na Mwenyekiti wa CCM kuwa na mchango mkubwa kwenye hili, yeye sio na hapaswi kuwa Alfa na Omega wa katiba mpya (Kwani akifanya hivyo wengine wanakwamisha) bali pia kuna mchango na ushawishi wa wadau 'Actors' wengine.

Kwa mantiki hiyo, ni muhimu kuwekana sawa kwanza kwa wadau wote , na kujenga uelewa wa pamoja, na ndicho kinachofanyika sasa na watu wakiachana na emotions na kwenda kwenye ku reason ndio tunaenda sasa. Ni lazima tujifunze kutokana na makosa, vinginevyo tukienda kama maroboti tutakwama pale pale tulipokwamia 2014 maana watu ndio hawa hawa na wabongo tunajijua tu wenyewe.
Maoni yangu ni kwamba jk hakuwa na nia ya kuleta katiba mpya. Aliweza kumuibia lowassa ushindi ndani ya chama na nje ya chama ingawa alikuwa na nguvu sana. Asingeshindwa kulazimisha rasimu ya warioba ipite.
 
Back
Top Bottom