lolOmmy Dimpoz ndio wa upande gani hapo ?
Sister navyoona sifa zako nimejikuta nimekupenda aiseee
Hahahaabasi itoshe kusema miafrika ndo tulivyo
Nah bruh....I'm never the one to get green with envy.Acha wivu wewe..! Hapo umeona kisu kikali Hahahah.
I mean...hiyo ni picha tu lakini hizo tafsiri zake sasa.....mweh!Marehemu Ndanda Kosovo alipiga picha na mzungu wa UDSM. Magazeti ya Shogongo yakaripoti ukurasa wa mbele kabisa kwamba ni mpenzi wake. Mzungu alikuja juu nusura amtoe meno ya mbele Ndanda Kosovo. Mkiona picha sio lazima muitengenezee story.
Ukiishi kwa kuogopa akili ndogo watavyodhani na kuhitimisha basi daima utakuwa mtumwa wao.Kwasababu watu(wenye akili ndogo kama unavyosema) watadhani ni lako kumbe sio lako!
Vipi kama huyo dada ni shabiki wake huyo Dimpo?hatakua amemwomba tu huyo mdada apigenaye tu picha
Hata Diamond walisema hawezi kuzalisha.....Hizo kashfa za kua jamaa sio ridhiki nimeanza kuziskia kitambo sana, na kwa jinsi nnavyojua wabongo wakianza kuongea kitu ujue sio bure. Wabongo huwa ni wambea, ila wengi sio waongo
Sijui mkuu, ila kwani ulishampima tiffa na prince dna ukathibitisha kua ni wake kweli? Au vidomo kuchongoka ndo kipimo?Hata Diamond walisema hawezi kuzalisha.....
Ni kweli hawezi?
Mbona hajiamini?? Mimi hizi reaction zake ndio zinanifanyage kiasi fulani niamini labda hizi tuhuma zina kijiukweli Fulani..
Yani akiambiwaga tu anapu**liwa anapaniki anaanza kurusha vipicha na videmu..
Kipindi kile Nay wa mitego kamchana jamaa alipaniki akatoa bonge la povu alafu akaweka video na kale kademu kazungu sijui halfcast..
Baada ya lile timbwili kutulia hatujaona picha nyingine zozote na yule demu..
Sasa hivi tuhuma zimeanza upya, jamaa ameanza tena vipicha vyake na videmu!!
Kama tuhuma hazina ukweli why anahangaika sana kuprove ni "mzima"??