Hatimae Ommy Dimpoz aweka picha akiwa na mpenziwe Instagram

Marehemu Ndanda Kosovo alipiga picha na mzungu wa UDSM. Magazeti ya Shogongo yakaripoti ukurasa wa mbele kabisa kwamba ni mpenzi wake. Mzungu alikuja juu nusura amtoe meno ya mbele Ndanda Kosovo. Mkiona picha sio lazima muitengenezee story.
I mean...hiyo ni picha tu lakini hizo tafsiri zake sasa.....mweh!

Kila mtu anakuja na conclusions zake.

What the hell....
 
This is all FAKE and staged because they are busted in that FAKE robbery. They both are trying to make it like he's going crazy for an excuse to try and not get in trouble when it all comes out.
 
huyo ndiye anamtafutia wazungu wanaume wa kumpumulia...in short huyo demu ni dlali wa mabasha
 
Hizo kashfa za kua jamaa sio ridhiki nimeanza kuziskia kitambo sana, na kwa jinsi nnavyojua wabongo wakianza kuongea kitu ujue sio bure. Wabongo huwa ni wambea, ila wengi sio waongo
 
Mbona hajiamini?? Mimi hizi reaction zake ndio zinanifanyage kiasi fulani niamini labda hizi tuhuma zina kijiukweli Fulani..

Yani akiambiwaga tu anapu**liwa anapaniki anaanza kurusha vipicha na videmu..

Kipindi kile Nay wa mitego kamchana jamaa alipaniki akatoa bonge la povu alafu akaweka video na kale kademu kazungu sijui halfcast..
Baada ya lile timbwili kutulia hatujaona picha nyingine zozote na yule demu..

Sasa hivi tuhuma zimeanza upya, jamaa ameanza tena vipicha vyake na videmu!!

Kama tuhuma hazina ukweli why anahangaika sana kuprove ni "mzima"??
 
Back
Top Bottom