Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,829
- 3,159
Huu ndo ulimwengu wa leo matukio kila leo hatupumui hapa mjini
Kamnunua apige naye picha ili aonekane hapumuliwi... Huyo mpenzi ni janja janja.
Kwa nini upige picha na trekta la watu??hivi jamani kwani mtu akipiga picha na trekta ni lake?!
Kwa nini upige picha na trekta la watu??
Kulingana na kashfa aliyo nayo ni rahisi kuamini anakanusha kidizaini.Sasa kwa mfano ni nini kwenye hiyo picha kinathibitisha kuwa [1] huyo ni mpenzi wake na [2] kwamba 'hapumuliwi'?
Aisee kaazi kweli kweli yaani.
Kulingana na kashfa aliyo nayo ni rahisi kuamini anakanusha kidizaini.
Kwasababu watu(wenye akili ndogo kama unavyosema) watadhani ni lako kumbe sio lako!Kwa nini usipige nalo picha?
basi itoshe kusema miafrika ndo tulivyoKama kaandika basi itakuwa si hapo kwenye picha na kilichopo ni imaginations tu za watu ambao wana obsession na maisha yake binafsi.
Sielewi kwa nini watu wanakuwa na raghba ya kutaka kujua analala na nani.
Acha wivu wewe..! Hapo umeona kisu kikali Hahahah.Nini kwenye hiyo picha kinasema huyo mdada ni mpenziwe?
Hizo emoji?
Sahihi kabisa.Oh well kila mtu ana haki ya kuamini chochote kile!