navigator msomi
Senior Member
- May 8, 2018
- 156
- 167
Hellow.!jf members.....kwanza nianze kwa kutanguliza shukurani zangu kwenu kwa uvumilivu na ushauri juu yangu tangu enzi zile nalia sana sina ajira.
Napenda kuwataarifu Kua namimi Leo nimebahatika kupenya kwenye hizi ajira ndogo za serikali.
Nachowaomba ndugu zangu, mnisaidie ushauri tena ni vitu gani nivizingatie soon after starting working ili niweze kupata mafanikio zaid katika kazi na maisha kwa ujumla.
Natumain wana jamii mtanielekeza.....ASANTENI
Napenda kuwataarifu Kua namimi Leo nimebahatika kupenya kwenye hizi ajira ndogo za serikali.
Nachowaomba ndugu zangu, mnisaidie ushauri tena ni vitu gani nivizingatie soon after starting working ili niweze kupata mafanikio zaid katika kazi na maisha kwa ujumla.
Natumain wana jamii mtanielekeza.....ASANTENI