Kweli "kikulacho ki nguoni mwako"
Baada ya MM, MI, M2 na M3 kujulikana hatimaye "M" wengine waanza kujitokeza na kutoa matamko yanayo pingana na maamuzi ya chama na yaliyo ya wengi ambapo kwa mtu mwenye akili unaweza kujiuliza, je hawa wote walikuwa kundi moja nini? je huu sasa ni wakati wao wakutoa na kuonyesha makucha yao? Ama pengine huu ni muda mwafaka wa chama kuwafahamu wale wote wasio na mapenzi ya dhati kwa chama na wanaotumika kukivuruga chama?
Kwa kweli nabaki najiuliza maswali bila majibu, lakini nasema sitovunjika moyo, sitarudi nyuma na nitasonga mbele daima na kuamini katika mabadiliko ya kweli kwa mustakabali wa Taifa hili na vizazi vyake vijavyo.
Baada ya MM, MI, M2 na M3 kujulikana hatimaye "M" wengine waanza kujitokeza na kutoa matamko yanayo pingana na maamuzi ya chama na yaliyo ya wengi ambapo kwa mtu mwenye akili unaweza kujiuliza, je hawa wote walikuwa kundi moja nini? je huu sasa ni wakati wao wakutoa na kuonyesha makucha yao? Ama pengine huu ni muda mwafaka wa chama kuwafahamu wale wote wasio na mapenzi ya dhati kwa chama na wanaotumika kukivuruga chama?
Kwa kweli nabaki najiuliza maswali bila majibu, lakini nasema sitovunjika moyo, sitarudi nyuma na nitasonga mbele daima na kuamini katika mabadiliko ya kweli kwa mustakabali wa Taifa hili na vizazi vyake vijavyo.